Cha msingi serikali ipunguze ushuru hata kwa asilimia 40 ili watu wengi wanunue magari na hatimaye serikali ipate pesa kupitia ushuru.Kuwa na gari ni sehemu ya maendeleo.
Hongera Rais wetu mama Salmia Suluhu Hassan kwa kukutana na mpinzani wako wa kisiasa!!! Umeleta somo kubwa siyo tu kwa Watanzania bali dunia nzima.Mungu akubariki mama yetu kwa hatua uliyoichukua.Umeliunganisha Taifa letu.Na umekubalika zaidi.
Suala la kuukuza uchifu TZ linaturudisha nyuma.Hayati J.K. Nyerere aliona mbali.Kama serikali ya ccm inaona halina madhara basi himizeni kila kabila lifufue uongozi wa kichifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.