Recent content by Ngussa makandi

  1. N

    Account za michango ya ujenzi wa madarasa lakini risiti imeandika mapato ya Kijiji. Je, ni sawa?

    Leo nimefutwa na mwenyekiti wa kitongoji na kutakiwa nilipe mchango wa shilingi 15000 kwa ajiri ya ujenzi wa madarasa, lakini rist aliyokuwa nayo imeandikwa mapato ya kijiji je siwa kumpa hiyo hela badala ya kunipa account no niende kulipia bank. msaada wenu jamani kabla sijapelekwa...
  2. N

    Jerry Muro kufanya mkutano na waandishi wa habari Leo saa sita kuwajibu CHADEMA

    Kwani jerry nae ni kiongozi wa serikali?.kama alishindwa usemaji yanga hivi ataweza kweli kubishana na hao jamaa. kama anataka uongozi kwa style hiyo asubiri Kuna wakurugenzi wanne walevi soon mkuu atawatoa huenda akapata chance.
  3. N

    CRDB bank na mitandao ya simu mnatuibia

    Kila ninapohamisha fedha toka bank kwa njia ya simu ni lazima niwe na salio la kawaida kwenye simu, tatizo ni pale ninaporuhusu kukatwa salio la kawaida ili muamala ukamilike salio linakatwa halafu muamala haukamiliki kwa nini msiwe mnakata salio baada ya muamala kukamilika hamuoni kama huo ni...
  4. N

    Matumizi ya simu za mkononi kazini wizara ya afya

    Hawakuwa bize na wagonjwa wengine walikuwa bize tu na simu, sababu doctor alikuwa amepita na amechukua vipimo kwa wagonjwa na mgojwa wangu tayari alikuwa ameisha pata huduma toka kwa doctor kilichobaki ni kuingia chumba cha wazazi tu, baada ya uchungu kuanza alimuita nes na nes wala hakuenda...
  5. N

    Mkutano wa 37 wa SADC: Kwaniini Rais Magufuli Amekwepa Kuhudhuria?

    Hawezi kutoka mpaka wezi waishe anajua akitoka atakuta ameibiwa kwa hiyo analinda tusiibiwe, na hataki kuondoka watu watatangaza madeni tunayodaiwa nchi za nje. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Matumizi ya simu za mkononi kazini wizara ya afya

    Naomba waziri anaye husika na wizara ya afya apige marufuku matumizi ya simu wakati wa kazi, nimeenda hospital ya sekoutoure mwanza nikiwa na mama mjamzito badala ya kupewa kitanda hakuna huduma nyingine iliyoendelea zaidi ya maness kuwa bize na kuchart mpaka mgonjwa wangu amepoteza mtoto kwa...
  7. N

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa

    Asizuie kuuza dawa tu azuie na matumizi ya simu wakati wa kazi, maness badala ya kuhudumia wagonjwa wanashinda wa nachart hasa hospital ya sekoutoure mwanza maness kitengo cha wazazi kila siku watu wanakufa kwa kukosa uangalizi wa karibu toka kwa maness. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. N

    Onyo kwa mawakili wote wanaopanga kuandamana kesho kwa ajili ya Lissu

    Kama wakigoma ndio itakuwa mwisho wa chama chao. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. N

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Bongo movie ndio nini, mimi tangu waanze niliangalia cku moja tu nikaacha sababu video hazina ubora wala mafunzo zaidi ya kuonyesha mapenzi.
  10. N

    Kutekwa kwa Roma: Wasanii na familia ya Roma wafanya mkutano na wanahabari

    Inabidi tuache kulalamika kwenye mitandao, tulalamike kwa vitendo tupaze sauti zetu.
Back
Top Bottom