Aiseee nilimuona siku flani nadhan alikua na nani sijui Mwaipaya... Anaonyesha mifugo yake ng'ombe, na vitu vingine mara nikakuta shule ya kitu gani sijui mara makampuni kadhaa..... Nikabaki najisemea jamaa ana bahati kusimamisha mrad wa ng'ombe wa maziwa kwa umri wake ule sio mchezo
Ni yeye mwenyewe mkuu! Nadhan alikua anafanya janja janja maana kitambo kweli mimi mwenyewe sijamksika kwa kweli!
Tangu avume ansingiza kias hicho cha fedha.....
Una akili timamu kweli wewe!
Alivyofanya musiba kwa hawa wazee ni sahihi na alipaswa kushangiliwa?
Kama ni taratibu za chama kwanini ionekane ni nongwa kwa hawa wazee ila sio musiba?
Si ndo hapo! Yaani nchi hii inavituko kweli Ally happi eti ambako tunaweza sema ni mjukuu wa kinana nae ajitutumua kuwashsmbulia hawa wazee!
Hata kama siwakubali hawa wazee ila wamedhalilishwa sana hadi huruma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.