Jordan ni chuo wala sio shule ya msingi au sekondari, chuo wanasoma wenye wake na waume madent wa hapo kuwa na watoto ni maamuzi yao na maisha yao wala hayakuhusu ewe unaowasakama, au la kama unataka nawe beba mimba yako. Tuache tabia ya kuchunguzana mmmmh
As for me, uchumba si kitu chepesi kama wanvyochukulia hawa vijana wa dot com, uchumba ni zao la urafiki mzuri kati ya wapendao, urafiki ambao kila moja amemridhia mwenzake baada ya kuchunguzana na hatimaye kupeana ahadi ya kuoana na hapo ndio uchumba unakuja na pete ya uchumba inavikwa kw wale...
kwenye ulimwengu huu wa madada zetu kutawaliwa na tamaa ya vitu kwakweli pesa ndio mpango nmzima, hata hivyo wasio na tamaa wapo japo kwa uchache, wenye bahati zao wamepata wenye mapenzi ya ukweli na hao ndio wenye mahusiano endelevu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.