Hapo njia zipo nyingi sana lakini ya kwanza ni kumuandikia barua mkurugenzi kutaka kurjea kazini baada ya kutokuwepo kazini majibu ya hii barua ndo itatoa muongozo wa nn unatakiwa kufanya kuna wakurugenz wengne wanakuwa wazembe yaan unawza kukuta hajakufungulia shauri Tsc utakapo andika ndo...
Kiukweli ni changamoto sana japo hakuna linalo shindikana chini ya hii dunia utafanikiwa lakn nijuavyo sio chini ya miaka 3 itakuchukua maana hta kibali kikitoka kuna process bado zitakula muda mwingi, sababu ushaumua kuyavulia maji nguo inabdi uyaoge ila kiukwli uwe mwenye subra sana , na uwe...
Inategemea na familia Tu na mnaheshimiana vipi na uaminifu wako
Binafsi Mimi palitokea msiba wa moja ya wazazi na kiukweli kiuchumi sikuwa vizuri na Mimi ndo kija mkubwa wa familia walichofanya ndugu zangu ni kunipa kusimamia kila Jambo kiasi kwamba hata fedha za kuendesha mazishi walinikabidhi...
Brother usichanganye mambo huyo mgogoro ushafunguliwa na muajiri wake ambae ni halmashauri yake husika(mkurugenzi)
Mkurugenzi alimpeleka Tsc ambao wao ndo watatuzi wa mgogoro baina ya walimu na muajiri ( kumbuka mkurugenzi Hana mamlaka kisheria kumfukuza mwalimu kazi au kutoa adhabu yoyote)...
Hilo ni kosa la utoro kazini na bilashaka Tume ya utumishi wa walimu (T.S.c) walichukua hatua zifuatazo
1.Kukupa notisi ya kueleza kosa lako
2.kukuhitaji kujieleza ndani ya siku 14 Kwa maandishi
3.Kama ulikataa kosa kuundiwa kamati na kukuhojiwa ana Kwa ana
Makosa ya utoro wa kuanzia siku tano...
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) was established on 1stJuly, 2000 by an order published in the Government Gazette, Notice No. 293 of 2000 as amended by GN. 350 of 2009 under Section 3(1) of the Executive Agencies Act No. 30 of 1997.
The Agency is responsible for...
Hiki kisa kinapatikana katika Qur an sura ya 34(swaad) ..hivi mshawahi kusikia habari za watu wawili walogombana?...Siku moja Daud akiwa amekaa ghafla wakatokea watu wawili hajui walipo tokea isipo kuwa walikuwa kwenye mzozo mzito sanaa na walikuwa wakiomba daudi awasuruhishe,mmoja ni muongeaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.