Du!!,Wadau Mna Kumbukumbu Sana::::::::::::::::::::::::::::::::Mama huyu alijizolea Umaarufu mkubwa Saan Enzi hizo halfu alipotea kabisa ktk Siasa::::::::::::::::::::::::::Tafadhali Mwenyekujua alipo Sasa hivi atujuze.
Ndugu Mleta Maada,Uko Sawa, Na hata Kuna Mwanasiasa Mmoja aliwahi Kuwashangaa hivi hivi Wana Dar es Salama na kuwatania kwamba Wanaongoza kula Miguu ya Kuku.
tufe
Da!!,Wazo Zuri Kabisa,Naunga Mkono 100% kwa 100%,Ila mimi nadhani wanafanya hivyo Kwa kukimbizana na Muda wa Mchakato Wa Wagombea,Ila ni wazo Zuri nina Imani watalichukua
Ukawa ni hatari, Serikali ya Magamba Wamejinyenyea baada ya kusikia kuwa Ukawa Watakuwa Na Mkutano wa ki Historia Mwanza,Na Kuamuru TANESCO Kuhahakikisha watu hawafuatilii kinachoendelea Mkutanoni kwa Kukata Umeme Maeneo Mbalimbali ya Nchi,
Shame on You!!!
HAMY-D
Orodha Ndefu ya watu takribani Kumi huku Ukiwakwepa Marafiki zake na Nguli wa Mafisadi,Kama,Joka lenye Makengeza Lisaka Pesa,Nadhiri Karamagi,Rostam Aziz n.k,Mbona Husomeki Kaka?
Msidanganyike,Mkuu wa kaya na the so Called Loh Haswa Lao Moja,Hapo anazuga tu kujifanya hana habari naye Lakini Mwisho wa siku Ndiyo atakayem-Suport,Quote my words
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.