Dr. Slaa amesema kinachomsumbua moyoni mwake na hawezi kufuta kauli zake kwani hana imani na Mh. Mgombea wa Ukawa. Tunamshukuru kwani tunahitaji kujua mengi ili tuwapime wagombea wetu lkn hatuwezi kumpuuza kirahisi bila kuwa na majibu ya hoja zake kwani ni mtu anayeaminika na watanzania
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Huu ni ujanja wa Kenyatta baada ya kusikia Tanzania inataka kujenga bandari kubwa kwa msaada wa Wachina hivyo jamaa anataka kuwahi kuwakamata M7 na Kagame ili Tanzania isije faidika na mradi huu wa bandari. Utaona kenyata ameamua kuondoa vizuizi vyote...
*Chagonja anadai uchunguzi wake wa awali unaonyesha kuwa mtu huyo huyo aliyerusha Bomu ndiye pia huyo huyo aliyetumia bastola kupiga watu na ndiye huyo huyo alitumia SMG kulenga watu kama njia ya kujihami asikamatwe na watu, polisi walimwona ila raia wakazuia polisi wasimkamate!!!
Hapa...
Viongozi wengi wa polisi ni wale wa enzi ya chama kimoja hivyo tunachokiona sasa ni matokeo ya polisi kuwajibika kwa chama na sio kwa wananchi na sheria ya nchi.
Mungu tusaidie ili wajue mchango wao katika ustawi wa nchi yetu Tanzania
Tanzania sio salama tena demokrasia imeleta mgawanyiko na matukio yasiyofaa katika jamii ya watanzania badala ya kuwa chachu ya maendeleo na msingi wa utawala bora na haki za binadamu.
Badala ya kufikiri jinsi ya kutuletea maisha bora wanasiasa wanafikiri jinsi ya kupigana na kuhujumiana kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.