Recent content by Ngungange

  1. N

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Kuna kitu unakiruka? Weka namba yake tumuulize vizuri Yupoje kimuonekano?
  2. N

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Umejaribu Kula ndizi mbivu mbili😂😂😂 na maji Safi mengi
  3. N

    Nahisi kuna Project ya wanamtandao kutumia Manabii kutoa tabiri zenye lengo la kuipooza Mioyo ya Wananchi

    Yote yanaweza kuwa ila kiuhalisia kuna uwezekano wanaotangaza Amani hawana Amani ya ndani😂😂😂
  4. N

    Askofu Josephat Gwajima: Yamemitia! Hutoboi kama mfalme Uzia asipokufa kwanza na kuondoka!!

    Hii michezo ukishaanza kuiona inaanza jua kunamazingira wanayanda huku nje. Ila kama inafikia watu wanafurahia umauti wa mtu ujue kuna namna. Enewei Dunia sio Eneo la kudumu.
  5. N

    Anayefahamu Rais kapatwa na nini atuambie. Si kawaida yake kutosafiri nje ya nchi kwa muda mrefu hivi

    Hali ni mbayaaaaa Aliyepita alijificha tocha Kwa Damu alipotokeza Kwa kadamnasi haikuchukua muda safari ikawadia... Aliyefuata alijicha zikimakazi kitakachotokea baada ya hapo ni .......... Wakuunga doti nawaunge nawasio unga pia wasiunge. Enewei Mungu ibariki Tanzania wabariki raia wake.
  6. N

    Jumapili Desemba 7 Mapadri na Askofu wa Kikatoliki ni muhimu wazungumzie Amani kuliko Haki

    Viongozi watuambie wajibu wao na haki zao Na kisha raia aambiwe wajibu wake na haki yake. Tuone kama kutatokea vurugu
  7. N

    Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

    Upo Sawa kimtazamo kwakuwa hapa kuna agenda hiyo na Viongozi wameshakula mtego Kwa kuwa nchi sasa IPO kwenye mshtuko. Kosa linalofanywa na watawala n kuminya Haki Katika Nyanja za kuikosoa serikali, Vitendo vya kutekwa,Mauaji ya baada ya kupiga Kura. Ubadhirifu WA pesa. Yaan kuna tuhuma Kwa...
  8. N

    Ridhiwani apigiwa wimbo wa kudai haki kwenye mahafali, akerwa

    Hili vugu vugu la mabadiliko litavuma sanaaaa.... Mchimba shimo hujichimbia mwenyewe 👣
  9. N

    Dark days 17/03/20

    Kuna siku zenye Giza totoro zinakuja,kisha Mkomboz wa Taifa👣👣👣 Kabla ya siku hizo walijifichia makwao kisha walipotoka waliondoka Maxima👣
  10. N

    Vyombo vya Ulinzi; kwanini hatukujifunza nchi jirani, au tuliwadharau kwa kuwa sisi tulikuwa kisiwa?

    Vijana waliopo uwandani walikusanya taarifa zikionyesha uwepo wa matukio,kasheshe Kwa hao wakubwa wakapika vya kupika. Ndio maana Tesha alikuja kutoa angalizo. "Si wameamua kuwasikiliza hao aliowateua hajui kuwa hao n waofisini na Sisi n wauwandani ndio tunajua Hali halisi"
  11. N

    The countdown: Updates kuelekea D9 special thread

    Kinamba namba hiyo 1,3,5,7,9 Kwa sasa zina nuru😂, 2 ya wazee wa Dar kuna Giza totorooo kuna upande wamechagua Giza huko😂😂😂, Mchimba shimo hujichimbia mwenyewe Kama wamechagua mambo ya Giza kuna nuru itawaangazia 👣
  12. N

    Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

    Inaweza kuwa hivyo ilivyo ila kuhusiana na kuwa mshauri WA hayati sifikiri kama ilivyokwa Rais na Makamo ila labda alikuwa moja ya mawaziri. Ukileta nadharia ya Trump tar 3.5.2025 na kilichojiri 8.5.2025 utahisi kuna namna ila inaweza kuwa NI Mungu alimtumia Trump kufikisha ujumbe kwa Jamii...
  13. N

    Aliyesulubiwa ni Yesu au Simon na stori ikatungwa na wajanja janja?

    Maoni Binafsi hayaondoi uhalisia,sasa hivi n mchana huku ila inaweza kuwa ulipo n usiku. NI vile Tu umeamua
  14. N

    Picha: Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Edward Cossey akisalimiana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Ole Sabaya

    Hivi Haya madaraka kuna watu wanapenda kumwaga damu za wenzao? Kwahiyo huyu ndio Mtuhumiwa ?
Back
Top Bottom