Hii michezo ukishaanza kuiona inaanza jua kunamazingira wanayanda huku nje.
Ila kama inafikia watu wanafurahia umauti wa mtu ujue kuna namna.
Enewei Dunia sio Eneo la kudumu.
Hali ni mbayaaaaa
Aliyepita alijificha tocha Kwa Damu alipotokeza Kwa kadamnasi haikuchukua muda safari ikawadia...
Aliyefuata alijicha zikimakazi kitakachotokea baada ya hapo ni ..........
Wakuunga doti nawaunge nawasio unga pia wasiunge.
Enewei Mungu ibariki Tanzania wabariki raia wake.
Upo Sawa kimtazamo kwakuwa hapa kuna agenda hiyo na Viongozi wameshakula mtego Kwa kuwa nchi sasa IPO kwenye mshtuko.
Kosa linalofanywa na watawala n kuminya Haki Katika Nyanja za kuikosoa serikali,
Vitendo vya kutekwa,Mauaji ya baada ya kupiga Kura.
Ubadhirifu WA pesa.
Yaan kuna tuhuma Kwa...
Vijana waliopo uwandani walikusanya taarifa zikionyesha uwepo wa matukio,kasheshe Kwa hao wakubwa wakapika vya kupika.
Ndio maana Tesha alikuja kutoa angalizo.
"Si wameamua kuwasikiliza hao aliowateua hajui kuwa hao n waofisini na Sisi n wauwandani ndio tunajua Hali halisi"
Kinamba namba hiyo 1,3,5,7,9 Kwa sasa zina nuru😂,
2 ya wazee wa Dar kuna Giza totorooo kuna upande wamechagua Giza huko😂😂😂,
Mchimba shimo hujichimbia mwenyewe
Kama wamechagua mambo ya Giza kuna nuru itawaangazia 👣
Inaweza kuwa hivyo ilivyo ila kuhusiana na kuwa mshauri WA hayati sifikiri kama ilivyokwa Rais na Makamo ila labda alikuwa moja ya mawaziri.
Ukileta nadharia ya Trump tar 3.5.2025 na kilichojiri 8.5.2025 utahisi kuna namna ila inaweza kuwa NI Mungu alimtumia Trump kufikisha ujumbe kwa Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.