Recent content by ngundusi kwetu

  1. N

    Mbegu za papai zina madhara?

    DUUU!kaka hukula papai muda mrefu nini?mpaka mbegu!ila usijari hazina madhara.
  2. N

    Huu utaratibu upo kisheria?

    Habari ndugu wana-Jf! Naombeni kuuliza kuwa,huu utaratibu kwa wajumbe wa nyumba kumi/serikali za mitaa kutoza Tsh/= 2,000 hadi 5,000 kwa barua moja kwa wananchi wanaohitaji huduma hiyo, ni utaratibu halali ambao upo kisheria?na kama ni halali,mapato na matumizi ya hizi hela yanajulikana na...
  3. N

    Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

    Hii habari haina ukweli wowote mkuu,b'cause baadhi ya waandishi wetu siku hizi wanapotosha(mislead information)sana habari ili kuuza magazeti/ habari yao.Na hii inakiuka sana media ethics,hivyo some people huondoa imani yao kwa hivyo vyombo vya habari.
  4. N

    Mahakama zetu ni zaidi ya duka

    Pole ndugu,mbona ni kawaida.
Back
Top Bottom