fungoezgar
Member
- Jan 18, 2013
- 36
- 11
Waombaji wa kazi tuna shughuli pevu sana, Leo tar 8, Oct nimeenda mahakama kuhakikiwa nakala za vyeti vyangu lakin huko ni wiz mtupu, nikaambiwa nakala 1 ni buku 2 nilikua nazo 5 na jamaangu alikua nazo kama 10 ikatubidi tulipie hiyo pesa, kimasihala nikauliza hela hiyo niyanini, je tunalipia uchakavu wa mihuri? nikajibiwa tunalipia cheo cha hakimu na wino/ink, nikataka kuulizia kama nitapata risiti lkn nikaacha coz niliona amenichukia kufuatia swali langu la awali. Lkn kukaa kwangu hapo kwa muda usiozidi dak 10 lile DUka/Mahakama lilikua linamake enough money. Ila ikaniuma sana coz sion mantiki ya kuhonga nami ninavyeti halisi vya elimu yangu. Kisha kama mtu anakaa miaka zaidi ya mi3 akiwa anaomba kazi mbona atakufa kwakuneemesha walioko kwenye uskani! Should we pray for them??????