Recent content by ngumagule

  1. N

    Mtanzania Vedastus Nsanzugwanko adhuriwa na Al-Shabaab katika Shambulio la WestGate - Nairobi

    pole Nsanzugwako, ni vema pia wanausalama wa tz kuwa macho na hawa Al shabab kwani hawatabiriki!:kev:
  2. N

    Madawa ya kulevya: Watanzania watatu wauawa nchini Afrika Kusini!

    Aibu kwa taifa la Tanzania vijana wetu kuwa vinara wa madawa ya kulevya ktk nchi nyingi duniani, serikali iache mzaha, vita dhidi ya mapapa wa kadhia hii usalama wa taifa waivalie njuga la sivyo watangaze kushindwa kazi wananchi tuchukue hatua.Tumechoshwa na aibu hii.:help:
  3. N

    Wabunge wa CCM watoe taarifa tena kwa spika,hotuba ya Sugu ipo mitaani tayari

    Watz tuwashe moto wa ukombozi,tumechoshwa na udhalimu wa watawala wetu wasio na chembe ya huruma dhidi ya mgao wa keki ya taifa.:A S-fire1:
  4. N

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    wabongo tusichoke kuwaunga mkono watetezi wa haki zetu,pole sana Lwakatare,wa tz wengi sana tupo tayari kwa mabadiliko, tumechoka kupuuzwa, kuonewa na kuhujumiwa raslimali zetu mkombozi wetu ni CHADEMA, wananchi tuzidi kuwaunga mkono viongozi wenye upeo wa juu, tusikubali hadaa za wsio na...
  5. N

    Matokeo ya kidato cha nne yafutwa hii ndo bongo bwanaaa...

    wabongo kweli tunaliwa, nchi imeshakosa dira siku nyingi, tuamke tuikomboe nchi yetu, inauma sana kuona tuna lundo la viongozi wanaoiangamiza nchi huku tukiwatazama tu!:whoo:
  6. N

    Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

    nadhani waisrael wanaongoza manake mambo yao ukilinganisha na maadui zao wanavyowasambaratisha inatisha
Back
Top Bottom