Maswali kama haya ni ya kutafuta mengine, team ya madaktari pale Dodoma wakiongozwa na Mteule wa Rais, Dr Ulisubya walishuhudia kuwa aliumia zaidi wapi, ni vizuri kuhoji watu kama hao. Sie wengine huku tutadanganyana tu
Mm nafikiri huwa unaangalia bunge hili tu la Jamhuri ya Muungano wa Tz... Fanya references na ma Bunge mengine ili uone matusi. Mfano mdogo to ni Bunge la South Africa, hadi Rais anatukanwa zaidi ya matusi hayo uliyosikia
Nilitegemea huyu mzee wa monduli atakuwa ndo wa kwanza kupelekwa mahakamani, maana wakati wa kampeni Mh. Magufuli na Kikwete walitamka wazi kuwa Ufisadi na wizi wa Lowassa hauhitaji ushahidi maana wiz wake ni wa wazi kabisa,, Nashangaa hadi leo hawajamshughulikia
Mkuu kwanini asafishwe na mahakama??? Kwani shauri lake lilipelekwa mahakamani???? Au na wewe ndo wale wazee wa kukurupuka!!! Kuhusu afya yake, "wewe na mimi hatujui" anajua yeye na daktari wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.