Recent content by NGOWILE

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Msema kweli ni mpenzi wa Mungu

    Team buku saba. Haya kapokee buku saba yako Lumumba
  2. N

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    HATMA YA DR.SLAA NA UJIO WA EDWARD LOWASA NDANI YA CHADEMA. Na Nicholaus Ngowi. Sunday 2/8/2015, 11:30 Ni takriban miaka tisa sasa tangu nimeanza kufuatilia kwa undani siasa za Tanzania na pia tangu nijiunge rasmi kuwa mmoja wa wanachama wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA. Kwa...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    UKAWA SIO SALAMA SANA. Na Nicholaus Ngowi. 29/7/2015-08:23 Tangu kuanza kwa umoja wa katiba ya wananchi UKAWA nchini watawala wamejaribu kila mbinu ili kuhakikisha kuwa umoja hou umesambaratishwa kwani kiukweli unahatarisha kwa kiasi kikubwa uhai wa chama cha mapinduzi. Zimefanyika mbinu...
  4. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kujitowa UKAWA

    Kakojoe ulalwe tumekusikia
  5. N

    JamiiForums Tanzania Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

    Akizomewa kama kawaida yake utujulishe pia
  6. N

    JamiiForums Tanzania Zitto akumbana na mtiti wa Kiwira

    Zito ni bonge la snichi
  7. N

    JamiiForums Tanzania Updates: Mkutano mkubwa wa Dr. Wilbroad Slaa Tanganyika Packers DSM

    Hivi ni wangapi wamefika kutaka uraisi kupitia magamba?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Updates: Mkutano mkubwa wa Dr. Wilbroad Slaa Tanganyika Packers DSM

    Naona ritz hakaliki
  9. N

    JamiiForums Tanzania Waraka wangu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hebu hangaikeni na content ya waraka badala ya kutukanana
  10. N

    JamiiForums Tanzania Waraka wangu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ni afadhali ya njaa inayoishi tumboni kuliko inayoishia kichwani kwani humfanya hata msomi kuiweka rehani elimu yake mfukoni kwa gharama za wengine. Sio kila anayemshauri ama kumkosoa Rais ni Lema.Sishangai maana hata Lukuvi alishawahi kunifananisha na Lema baada ya kushindwa hoja. Kwa kifupi...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Waraka wangu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wapumbavu wanapoduwaa sisi wapumbavu tunaduwaa.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mkosamali apata ajali mbaya Bahi mkoani Dodoma

    Mbunge wa Muhambwe kupitia NCCR-MAGEUZO Felix Mkosamali amepata ajali mbaya ya barabarani eneo la wilaya ya BAHI mkoani Dodoma akiwa njiani kutokea Dodoma kwenda Kigoma. Yeye Mwenyewe hakuumia sana ila mdogo wake pamoja na abiria mwingine wameumia vibaya na kwa sasa wapo Hospital ya rufaa ya...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kuwasaidia BAVICHA, ni kwa dhati ya moyo wangu

    Shoza unateswa sana na laana ya usaliti. Ukiona mwanamke kaoewa halafu anamtajataja bwana wake wa zamani jua dhahiri kuwa bado ana mapen ya dhat na bwana wa zamani
  14. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kuwasaidia BAVICHA, ni kwa dhati ya moyo wangu

    Sitegemei hata siku moja ccm kuisemea mema CHADEMA.
  15. N

    JamiiForums Tanzania January Makamba na kiini macho cha urais

    JANUARY MAKAMBA NA KIINI MACHO CHA URAIS. Ni hivi majuzi tu nimetoka kuandika juu ya Rais Kikwete kuufanya urais kuwa bei ya kutupwa kias kwamba kila mtu kuufanya urais kuwa hata mwendawazimu kuona anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kutokana na neno rais kuwa la kawaida na...
Back
Top Bottom