Habari Ba'ndugu,
Viipi kuna aliye sikia chochote kuhusu usaili wa hizo Taasisi mbili za serikali kwa kazi zilizotangazwa miezi michache iliyopita EWURA deadline ilikua 21/08, ila TRA nafikiri ilikua mwezi wa 5 hv. Daah mtaa unaumiza mbaya, tujuzane ata kwa mwenye info zozote. :confused:
KUNA NAFASI 6 ZINAZOHITAJI KUJAZWA KATIKA KAMPUNI YA CLEARING AND FORWARDING.
KAZI:KUFANYA DECLARATION NA KUTENGENEZA DOCUMENTS KATIKA TANCIS SYSTEM(2)
KU-PROCESS DOCUMENTS SHIPPING LINES NA KWA CONSOLIDATORS(2)
KUTOA MIZIGO BANDARINI (2)
SIFA;ELIMU YA SEKONDARI KUANZIA KIDATO CHA SITA NA...
Aya kwa walioomba kazi UDOM interview kesho weningine ndo tumejua now tunaweza shindwa kuudhuria hyo kitu.
Call for Interview January 2015 check this Link
duh...! tatizo humu ndani kila mtu anajua yani na hakuna anaekubali kirahisi. May b Sexologist asingeanza na MWEHU yasingetokea haya na May b BENJA angefikiria kwanza na kutumia moyo asingeandika vile. Tuwe wastaarabu wakubwa kila mtu anahitaji kujua mambo, kwaivyo kama mtu atatumia lugha ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.