Recent content by Ngowi Junior

  1. Ngowi Junior

    Usaili EWURA & TRA?

    Habari Ba'ndugu, Viipi kuna aliye sikia chochote kuhusu usaili wa hizo Taasisi mbili za serikali kwa kazi zilizotangazwa miezi michache iliyopita EWURA deadline ilikua 21/08, ila TRA nafikiri ilikua mwezi wa 5 hv. Daah mtaa unaumiza mbaya, tujuzane ata kwa mwenye info zozote. :confused:
  2. Ngowi Junior

    Naitaji kazi ya Cliaring and freight forwarding port management

    KUNA NAFASI 6 ZINAZOHITAJI KUJAZWA KATIKA KAMPUNI YA CLEARING AND FORWARDING. KAZI:KUFANYA DECLARATION NA KUTENGENEZA DOCUMENTS KATIKA TANCIS SYSTEM(2) KU-PROCESS DOCUMENTS SHIPPING LINES NA KWA CONSOLIDATORS(2) KUTOA MIZIGO BANDARINI (2) SIFA;ELIMU YA SEKONDARI KUANZIA KIDATO CHA SITA NA...
  3. Ngowi Junior

    PPF Liason interview

    Walitaka watu 6 Liaison Operation Trainee for Office.
  4. Ngowi Junior

    Niuzie Huawei Y 300 Unlocked

    asante mkuu nshapata
  5. Ngowi Junior

    Niuzie Huawei Y 300 Unlocked

    Hope wote mko poa sana...as per heading my bugdet is 70,000/=
  6. Ngowi Junior

    Passport urgent

    vip umeshapata...kam bado nichek. 0766315487
  7. Ngowi Junior

    Interview UDOM

    Aya kwa walioomba kazi UDOM interview kesho weningine ndo tumejua now tunaweza shindwa kuudhuria hyo kitu. Call for Interview January 2015 check this Link
  8. Ngowi Junior

    Natafuta chumba cha kupanga Dodoma

    https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/785611-nyumba-self-contained-inapangishwa-dodoma-area-d.html
  9. Ngowi Junior

    Huawei y300 kwa 100,000/=

    weka picha tuone...!! Mpya au used, kama used imetumika kwa mda gani....more details as possible.
  10. Ngowi Junior

    Mshahara Salary Scale PRSS 5.1

    duh...! tatizo humu ndani kila mtu anajua yani na hakuna anaekubali kirahisi. May b Sexologist asingeanza na MWEHU yasingetokea haya na May b BENJA angefikiria kwanza na kutumia moyo asingeandika vile. Tuwe wastaarabu wakubwa kila mtu anahitaji kujua mambo, kwaivyo kama mtu atatumia lugha ambayo...
  11. Ngowi Junior

    Massey ferguson 565 kwa sh 14.5m cif mpaka Dar

    hzo cnackia hzina ushuru mkuu?
  12. Ngowi Junior

    Acha kulalamika kila siku

    hahahaha....ngono nayo ina raha yake jaman. Hvyo tusiiseme vbaya sana.
Back
Top Bottom