Recent content by Ngoshanyi

  1. N

    Fatma Karume (Shangazi), kumfungulia kesi Musiba

    Si anawajua nyie msiojulikana kazi yenu halafu mnasingizia serikali?
  2. N

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Niliwahi kuandika huko nyuma Lowassa kenda kuwasuta na pia nikaandika akiisha watengenezea watamuanzia visa wamtupe nje. Mzee kastuka mapema kasepa. Chadema siasa hawaijui ni waropokaji tu . Utaanza kuwasikia waropokaji haswa Le
  3. N

    TUHUMA ZA ZITTO KUTAKA KUJITEKA NI NZITO, AELEZE UMMA KWA NINI?

    Mlimteka nyie kama kawaida yenu ili mumyumbishe Kamanda wa kiukweli JPM. Imebuma. Sasa mrudisheni yule msaidizi wa Mbowe kachoka huko mafichoni kwani serikali hii si ya mchezomchezo
  4. N

    Zitto Kabwe: Spika ameagiza Kamati za Bunge za PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji kutofanya kazi na CAG, tunakwenda Mahakamani!

    Hahaaaaaas haaaaaa mnafiki tu Zitto habari ya mujini sasa ni mahesabu ya chama lako. Umeshindwa kukuza lichama lako unawatumia wasio na akili kukuza wewe binafsi na ilivyo mijinga imekukumbatia tu. Umeisha
  5. N

    Bunge la Ujerumani: Serikali ya Tanzania inatakiwa kutafuta mbadala wa mabwawa kuzalisha Nishati ya Umeme

    Mpumbavu mmoja wewe. Unafikiri kwa kutoka kwenye tundu la choo. Nyie ndio mashoga aliowakubali Lissu kwenye Hardtalk.ya Bbc
  6. N

    Mh Rais, kuna FAILI liko mezani kwanini Unaliruka? (PART TWO)

    Nenda kanye kisha uchambe kwa mgomba. Huu wazimu wa ndoto mpelekee mkeo na wakwezo
  7. N

    Ukweli JK CCM Ilikufia Mikononi, Hii Uliyoacha Sio CCM Asili

    Poleni nyumbu na pinduapindua. Na bado. Si mlimtukana Mkwere? Mezeni tu sasa.
  8. N

    Waliofungua kesi kupinga mswada hawakusoma hizi sheria za Vyama za Nchi nyingine

    Si huwa mnasema Mahakama si huru? Vipi leo muiachie?
  9. N

    Tundu Lissu: Mwaka 2019 ni wa kurudisha Demokrasia, Haki na Utu wetu Tanzania (Sehemu ya Kwanza)

    Dereva wako ndio first suspect na waliopanga ndio wamekukimbizs naye. Mrejeshe mahojiano yaanze kwake ni shahidi muhimu sana
  10. N

    Zitto: Kuna operation maalum ya kunimaliza (kuniua)

    Nonsense. Kumjibu kichaa nawe utaonekana kichaa. Chama kimemshinda kajishindilia Ukawa na kwa sababu wenyewe pia wa hoi wamemkubali. Hamna kitu hapo. Ngoja sasa wale waliosema ulitaka kuwahujumu kwa pesa ulizopewa pale benki wakushughulikie. Kuna yule jamaa wa Arusha mzoefu wa shughuli hizo...
  11. N

    BoT yazifungia benki 5 kutojihusisha na biashara ya fedha za kigeni

    Narudia tena wewe ni mjinga na pimbi. Badala ya kusikitika benki zinaiba pesa zetu za kigeni kwa kukiuka taratibu za Benk wewe unashangalia. Tena ungekuwa karibu yangu na makonde ningekupiga swine
  12. N

    BoT yazifungia benki 5 kutojihusisha na biashara ya fedha za kigeni

    Ujinga hauuzwi labda ningesema umeuziwa mbuzi kwenye gunia. Inaelekea ni mjinga wa asili na bongo lako limejaa taka
  13. N

    Baada ya Zambia zamu ya Kenya, China mbioni kutaifisha SGR kulipia deni

    Kwa hili hujamaliza adha ya mikopo ya nchi za Magharibi. Umechagua yanayokidhi haja yako" "Ni kweli kwamba nchi za magharibi zinaambatanisha mikopo na masharti mbalimbali, kama haki za binadamu, demokrasia, mambo ya mazingira na mambo mengine(mambo ambayo Mimi binafsi ninakubaliana nayo
Back
Top Bottom