Recent content by ngoshaaa

  1. ngoshaaa

    Natafuta watu wenye ulewa kakita uwekezaji Wa madini

    Hongera kakamaa kila kitu kitakuwa sawa
  2. ngoshaaa

    Haya kwa wale wanaotaka kwenda kuishi amerika na kuapata green card Uraia wa Amerika

    Mbona mm najaribu inaniambia system down nifanteje hapo mkuuu???
  3. ngoshaaa

    Utumishi Mnawakosea Watu:Waombeni Radhi Health Attendant mliowaita

    Yamenikuta hata mimi leo sio health attendant tuu... kila kada leo ni mambo hayohayo
  4. ngoshaaa

    Haya kwa wale wanaotaka kwenda kuishi amerika na kuapata green card Uraia wa Amerika

    Jaman naomba msaada mimi sijaelewa hiyo green card nikiapply ntafaidika vipi? Au ni kwa wale ambao wamepata ajira huko marekani au ambao wamepata admission ya chuo marekani?? Tafadhari naomba nijuzwe
  5. ngoshaaa

    Msaada wadau, course ipi ya aviation nzuri kati ya hizi?

    Jamani nipo njia panda naombeni msaada course ipi nzuri kusoma kwa kipindi hiki na kijacho kati ya flight operator/dispatch na airport operation/ground operation najua wapo waliopitia huko nahitaji mawazo yenu juu ya upatikanaji wake wa ajira na mshahara wake... Ahsante
  6. ngoshaaa

    Rais Magufuli anapokea mshahara mdogo kuliko Marais wote Afrika Mashariki

    Kama kadanganya sisi tunahakikisha vp?
  7. ngoshaaa

    Kauli ya Paul Makonda baada ya Rais Magufuli kudai ni mfano wa kuigwa

    Siku akikiri yeue ni bashite hapohapo ndo ntaanza kumuita ni mkuu wa mkoa wangu
  8. ngoshaaa

    Kauli ya Paul Makonda baada ya Rais Magufuli kudai ni mfano wa kuigwa

    Mm asinishukuru sijawai kumkubali hata robo
  9. ngoshaaa

    Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe

    Atapatikana? Kwan tukio lina mda gan mpaka leo??? Muamin raisi ila hakuna swala kama ilo Nakuapia hapatikan mtu yule anakula maisha na usikute kapandishwa na cheo
  10. ngoshaaa

    Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe

    Tunazugwa tuu bhnaa hakuna raia wa kutoa silaha mbele za watu..kwanza mpaka picha zake za facebook na insta watu waliziweka bado tu? afu kama ni raia kwanini amzuie nape kuzungumza? Alikeleka na nini? Au nape alimchukulia mkewe? Wasitufanye wajinga kias hiko
  11. ngoshaaa

    Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe

    Vituko tuu ndo vinachukua hatamu safari yetu
  12. ngoshaaa

    Ni kweli watumishi 28,000 walikuwa wakilipwa Shilingi Bilioni 526 kwa mwezi?

    Sorry kaka hiyo ni kwa mwez!! Haiwezekan kwa mwaka mzima wakalipa hiyo hela.. fuatilia vzur utagundua ni usanii mtupu kama kusems tra wanakusanya matrilion kwa mwez
  13. ngoshaaa

    Ni kweli watumishi 28,000 walikuwa wakilipwa Shilingi Bilioni 526 kwa mwezi?

    Huhuhuuuhuhuhuu asante kwa kutukumbusha
Back
Top Bottom