Unafiki umeanza kwa viongozi wa dini hao ndio wanafiki namba 1 wakati wa nyakati ngumu nao waligeuka bebdera kufuata upepo sasahivi nao wanainua mabega kujifanya wanakemea unafiki wakati wao ndio waliobeba bendera ya unafiki aache upuuzi asijifanye hayo anayaona leo yeye aendelee kukusanya...
Acha upuuzi yaani waache kuonyesha picha kamili waweke mapicha yenu ya mapambio feki? Huyo Hangaya hatoshi ndio maana akina Lukuvi, Ndugai na propaganda walitaka akalime karafuu huko kwao
Mkuu mbona imeisha hiyo kwenye sherehe za sugu mama enu alimsemea niki wa 2 kuwa anabalansi mziki na udisii ivyo fuleshi tu sasa gg si muendelezo tu utakuwa alafu udisii ukumbuke ni koti la kuazima
Fanya biashara ya kuuza sambusa tu tengeneza za nyama zenye pilipili na zisizo na pilipili tembeza kwenye sehemu za mkusanyiko wa watu,changamoto uvumilie kuombwa namba ya cm
Anachokisema ni muendelezo wa porojo ambazo wenzie walishazisema huko nyuma labda jipya ni hili la kukunwa nae atamkuna zaidi na kumpapasa na kumpuliza
Chief hangaya ndip mgeni rasmi sasa asingeweza kucheza dk 90 maana kilomita zimeenda si unajua jana alikuwa wapi?sasa msema chochote wa taasisi pendwa iliyochini ya kasirikari ketu akaona atanue gori ili kufanikisha hangaya kuhudhuria
Kuna wajinga furani wanasemaga interejensia yao ipo imala sasa kama vijana zaidi ya 20 wanasuka jambo na kwenda kulitekeleza bira ya hao form 4 vilaza kujua je wangekuwa na siraha za moto ingekuwaje?
Mkuu kwani wakati simba mwenye sharubu anatangaza wao hawakujua hilo +hangaya wakati anahubiri kule tanga?hayo yalikuwa maelekezo ya kamati ya bunge bei elekezi iwe 27 ili taaanesikoooo wawe na makusanyo ya kutosha kupitia mauzo ya luku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.