Recent content by Ngonini

  1. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yang'ara Morogoro

    Hii ni habari njema sana! Hakuna kitu itafanya ccm kitanifanya nirudishe upendo wangu ccm! Nilishatupa kila kitu na ubabewa mwenyekitiwao mpya ndo anaongezea kichefuchefu kabisa! Kwa mabaya walitufanyia siwezi kupigia kura ccm mini na nyumba yangu!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Asante Rais Magufuli kwa kuua vyama vya siasa na CCM ya Lowassa

    Hivi wewe unajua umuhimu wa upunzani kweli ? Hivi leo isingekuwa kibano cha upinzani ungekuwa unaisifia ccm leo? Nani aliyesababisha Magufuli awe Rais! Unadhani Magufuli alikuwa chagua la ccm? Kama mtu unaakili hutakaa usifie ccm, maana ccm haijafanya haya tunayoyaona sasa hivi kwa hiari...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya atabiri hali mbaya kwa CHADEMA

    Ni mwenye akili ndogo tu ndo anaweza kusahau namna upinzani hasa chadema walivyochangia katika kuleta mabadiliko tunayoyaona sasa! Bila upinzani imara hakuna cha maana kitafanywa na ccm nchi hii, Magufuli yuko pale kwa sababu ya upinzani, bila nguvu ya upinzani ccm ingempa magufuli kugombea...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Nape juu ya TBC kubadilisha utaratibu wa kurusha LIVE matangazo ya Bunge

    Hata watakao enda kunsikiliza nao mmmh!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Waandishi nao walitimuliwa

    Ndiyo maana mimi Rais wangu bado ni Mamvi! Itakuwa vigumu kuiamini ccm hata kama ikiongozwa na malaika!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Nchi hii imejaa mbulumbulu wengi mpaka natamani niondoke! Mijitu haitaki vitu vya msingi vifanyike wanakimbilua UJI kama ulivyosema! Sasa hivi kutokana na propaganda za media za huyu jamaa mpenda sifa, watu ukiwaambia tutafute katiba kwanza utaona mijitu inaingia mitini imesharidhika na story za...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa UKAWA ni wendawazimu?

    Gazeti gani hili? uhuru?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Hivxo bvitanda ni kwa ajili ya jengo jipya karibu na moi, wala siyo hivi vya magufuli! Ni wapambe tu wana wanajaribu kujipendekeza kwa magufulli kwa sababu wanamjua anayopenda sifa za kwenye media!
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kikwete a smart Man that I know

    Nitaendelea kuichukia ccm mpaka itoke madarakani kama niko hai! Haijalishi magufuli ataleta maendeleo gani!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Mwanza wazingira njia ya kuelekea hospitali ya Bugando

    Wanalinda kipindupindu eti tumeambiwa!
  11. N

    JamiiForums Tanzania Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza

    Sijawahi kuona serikali halali inayojiamini inahangaika na mambo ya kitoto namna hii! Utakuta hao polisi wanalipwa mpaka posho kwa kukaa barabarani kuzuia watu kuaga mwili wa marehemu! Mbona Firikujombe ccm walimzika kwa heshima zote na haikuwa nongwa? Nadhani kuna kitu hakiko sawa ndiyo...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya CCM kwenye kesi za uchaguzi

    Kwa hili dubwana lilipotufikisha yote yanawezekana! Ila siku limeanguka puuuuu nchi itazizima kwa machozi ya furaha! Haijalishi itachukua miaka mingapi nitasubiri tu Mungu akinipa uhai! Hakuna kinachoweza kufanyika nikaipenda ccm tena!
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

    Hivi kuna ntu mwenye akili yuko ccm? wengi wanaounga wanao laumu ukawa kutoka nje ni mbumbu tu, maana tunajua hawawezi kujua kinachomaanisgwa na ukawa maana inahitaji kusoma ili uelewe ukawa walimaanisha nini! Tatizo la mbumbumbu huishia kuangalia picha na kufanya conclusion! Na hili la picha ya...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

    Hivi nchi hii kuna jambo linaweza kutatuliwa kwa kukaa kimya kuisubiria serikali ya ccm iwasaidie! Kwanza wazanzibar wamekuwa waungwana sana, kipindi hiki! Kama wangeamua kudai haki kwa nguvu mwafaka ungekuwa umeshapatikana tayari!
  15. N

    JamiiForums Tanzania Mbunge Elibariki Kingu wa CCM akataa posho kwa wabunge "sitting allowance"

    Anajipendekeza uwaziri, wewe hujui akili za wana ccm? Ni wawinda fursa tu basi! Huyu si alikuwa mkuu wa wilaya JK akamtema!, sasa anajipendekeza iliaonekane anawaza sawa na Rais! Utaona kama atazikataa hizo laki 3 akikosa uwaziri! Chezea akili za maccm wewe!
Back
Top Bottom