Mzee baba haya mambo ya mapenzi ni yakuyaacha, ukute kuna mtu mwingine akimuona demu wako anakushangaa unawezaje kuishi na mwanamke kama huyoalivyo mchafu, wakat wewe unamuona freh kabsa
Kuna watu walimshabikia mwendazake kwa mbwebwe nyingiii, hawakuyaona madhaifa au upotoshaji wowote zama zile, sasa na nyie za kuupiga mwingi huku bibi zenu na ndugu zenu wanakunywa uji wa chimvi vijijini kwenu uko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.