Ni kada wa chama cha mapinduzi aligombea ubunge kwenye mchakato wa kura za maoni kwenye moja ya majimbo ya mkoa wa kagera.. sijui kwa nini Magufuli hajampa ata u DAS maana njaa inamsumbua sana.
Wakenya bhana.. mnaendelea kujichanganya, mnakwenda mbele hatua 10 na kurudi nyuma hatua 18.. lakini nawapongeza kwa kuendekea kusubutu kwenye mambo ya nchi yenu. Ukweli mtapigana na kuuana sana lakini baadae mtapata njia nzuri ya kuishi kwa kuheshimiana.
Sasa kama si Zitto Kabwe kuja na taarifa yake TRA wangeendelea kukaa kimya? Mbona utalatib mzuri wa kisomewa mapato yetu kila mwezi umekufa na sasa kuvizia zitto atoe taarifa na wao wakanushe? Kuna uwezekano mkubwa ripoti ya TRA ikawa ya uongo mbona wamepoteza kujiamini na kuanza kucheza ngoma...
Yaani mimi niende Nakumatt nikanunue juice ya kopo ya kutoka uarabuni au S.A kwa buku tano wakati buku tano hiyo najaza mfuko wa matunda fresh kutoka mtini pale buguruni sokoni ninayoweza kula na familia yangu siku 3.. Kupapatikia maisha ya kizungu ndio ushamba wenyewe. Wakenya ninyi ni washamba...
Ndugu kama kuwa kwenye mpaka mmoja na nchi ndio kufanya biashara zaidi na nchi hiyo basi mzigo wote wa Ethiopia ungepitia Mombasa. Kwa taarifa yako tu bandari ya dar inafanya biashara hadi na Zimbambwe wewe unajionaje mjanja kufanya biashara na burunndi..?
Hivi PCCB kazi yao ni kushughulika na rushwa zipi? Ili jambo lipo wazi kabisa na ushahidi wa video bila chenga unaonekana lakini naamini hutowasikia kabisa. Mhe Mbowe kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni amewai kuongea ndani na nje ya bunge kuwa wabunge wa ccm wameongwa milioni kumi kumi lakini...
Serikali ya hapa kazi tu imepwaya sana inatetemeka haijiamini tena ndio kwanza mwaka wa pili tu lakini wamegundua wamefanya makosa mengi sana yenye kulighalimu taifa sasa wanafungia magazeti na kupiga watu risasi ..
Zikamatwe tu na zipigwe mnada.. uzalendo gani wakati swali na Mhe Nape wanashindwa kuijib wanabak kupaniki tu.. bombardier au dream liner ndio nini? kwa saut ya babu yangu wa kule Titu kiale 'kisarawe'
Si tu Ksh bilioni 14 pekee kumbumbuka na kuna watu walipoteza maisha yao na atujui sasa hivi watakufa wangapi? Mnamshangaa Uhuru kusema atatumia bunge kwa wingu wa watu wa chama chake bungeni kumtoa Raila kama akishinda, lakini umesaau kuwa Raila ujaribu kutunia njia yoyote ile kufanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.