Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana).
Kiukweli bei ya shamba (Eneo) la ekari moja ambalo linauzwa hapa Visiga - Kibaha ambalo ni shilingi 12...
Duu humu ndani ya Jamii forum kunashida. Watu bado wanamawazo ya zama za ujima. Eti "yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu"
Leo ndugu yangu unawaza kizamani hivyo! Nenda Darasani ndugu.
Hii habari bado haijitoshelezi Lakin wadau hili Leo mnaliona dogo kwasababu mhusika in Mh. Sugu lakini like La Mh. Kapuya lilikuwa sahihi kulijadili kwa vina na mikogo
Wapendwa Wajasiriamali wenzangu, bado nauza laini zangu tajwa hapo juu.
Sababu ya kuuza ni shida binafsi
Piga 0717037091 / 0755345833 kwa mazungumzo zaidi.
Ndugu watanzania wenzangu wapenda ujasiriamali, Mimi ninamiliki laini na kufanya kazi ya uwakala wa huduma ya Pesa kupitia mitandao mitatu yaani;
1. Tigo
2. Vodacom
3. Airtel
Kwasasa ninalazimika kuziuza laini zangu kwasababu binafsi. Yeyote mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu hii...
Shaka ya nini tena!tunajuaje kama hawa wengine waliweza kuwaalika hao wa staafu. Kama atafika kwenye moja bora itakuwa ni kampeni yake tu na sio sababu ya hao wastaafu kuhudhuria
Kwani were na Mimi tunayofursa ya kumwezesha yeye kuwa mgombea uraisi?. Anachokifanya yeye in sahihi na hajakurupuka kwani ni mambo ya utaratibu tu. Wahusika wake wakubwa kwa sasa ni wana CCM, akiweza kuwashawishi hao na akapita kuwa mgombea atarudi kueleza kwa watanzania wrote Sera za CCM kwa...
Nastahili kuwapa pongezi Yanga sports club kwa kupambana mpaka tone LA mwisho ila kwa mtazamo wangu acheni hiki ninachokiita uvivu. Ukweli ni kwamba yanga ni wavivu sana maana tangu michuano hii ya shirikisho ianze awamu hii Yanga hawajawahi kushinda ugenini, hata pale ambapo timu ilishinda...
Wapendwa Wana JF hili tatizo la ama wahariri wetu kuandika kwa maksudi kibiashara au kufanya makosa katika uandaaji wa vionjo au vichwa vya magazeti bila kuzingatia mantiki na uhalisia wa habari yenyewe linazidi kukua sasa.
Hebu pitieni magazeti ya Leo na muone Hali halisi juu ya hutuba ya Mh...
Wapendwa wana JF naombeni Cv ya Mchungwaji Gwajima maana kwa mtazamo na uelewa wangu haya si maneno ya kusemwa na mchunga kondoo wa Mungu, kama ndo hivo basi hakuna haja ya kufuata makanisa ya namna hii yanayotumia maandiko matakatifu vibaya, na nafikiri dhehebu hili lafaa kuonywa kwa kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.