Yaani tatizo mnajazwa ujinga na nyie bila kuchuja mnajazika.Hivi hao mnaowaita mabeberu do you know nyie ndo nchi ya tatu Africa kupewa misaada yao,kama hujui bora kunyamaza kuliko kuandika ujinga
Boya huwa anawaita wasio maboya kuwa ni maboya.Pole sana boya mkuu naona unateseka,na bado,mzimu wa uchaguzi huu utawatesa kila mmoja kwa nafasi yake hadi kaburini
Wewe akili yako ni matope,unawazia tumboni kule kwenye haja kubwa.Kama mnajiamini si mngeacha uchaguzi ukawa huru na wa haki?chama chenu kimechokwa si mjini tu hadi vijijini na maporini kusiko hata na barabara.
Mmepora uchaguzi halafu sijui Robert Amsterdam anahusikaje na zile kura zenu kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.