Hivi unaakili kweli wewe? Umesahau kwamba Mbowe yupo mahabusu kwa kesi za kusingiziwa? Na umesahau kwamba Lissu alipigwa lisasi za kutosha na hakuna pelelezi wowote uliowahi kufanywa?
Loo hapa umegonga penyewe kabisa,sasa suluhisho la hayo yote ni katiba mpya neno ambalo fisi emu au ccm hawataki hata kulisikia kabisa
Wao katiba mpya ni hatari kwa uhai wa chama chao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.