Zijue njia kuu wanazotumia CCM kubaki madarakani

Haya malalamiko na upuuzi ulioandika hapa tumeshauzoea. Na kwa kukuhakikishia angalia hata comment hapa zitakuwa ndogo mno na uzi utapotea.

Tatizo kila mchumia tumbo na mwenye stress za maisha kutokana na uzembe wake wa kutotafuta kazi anajifanya yeye mpinzan kindaki ndaki na ana uchungu kuliko watoto wa viongozi wa upinzani ambao huwezi kuwaona mitandaoni wakipost ujinga kama mleta mada.
Wewe ndo mnufaika namba one kwenye utawala huu usiotokana na kura za wananchi
 
Sijui kwanini Chadema imekuwa kimbilio la waliokimbia shule. Hivi mtu mwenye elimu na akili zake timamu anaweza kuandika upuuzi huu bila kurudisha kumbukumbu zake nyuma ili apate uhakika wa anachoandika? Kwa akili yako na elimu yako ndogo haujui yaliotokea mwaka 2000 pale jangwani baada ya CUF kumaliza kufanya mkutano wao siku moja kabla ya uchaguzi mkuu na kujaribu kurudi majumbani kwao kwa style ya kuandamana, pia inaonekana haujui kilichotokea kule Zanzibar mwaka 2001 baada ya uchaguzi mkuu, haya yote yalitokea katika kipindi cha Mkapa awamu ya 3 lkn kwa vile watu walikuwa na imani pamoj na mapenzi na upinzani kipindi kile, bado watu hawakusita kuingia barabarani pale tu walipoambiwa waingie barabarani na viongozi wao. Tukija awamu ya JK bila shaka unakumbuka kilichotokea Soweto kule Arusha na matukio mengine mengi tu, ila bado yalipoitishwa maandamano hata bila vibali watu waliingia barabarani kwa sababu bado walikuwa na mapenzi na chama. Kina Lipumba walivunjwa mpaka mikono kwa sababu ya kuandamana bila kibali, na bado maandamano yaliendelea kufanyika. Sasa kuandika kuwa watu wanashindwa kuingia barabarani kwa sababu ya kuogopa dola huo ni upuuzi mtupu kwan hata huko nyuma toka miaka ya 2000 watu waliuwawa, waliumizwa nk, lkn bado maandamano yalikuwepo. Kuwa na mapenzi na chama au kiongozi wa chama kusikufanye ww umkabizi akili yako yote ili ww ubaki na box tupu.
We comredi unaukumbuka ule uchafuzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019?
 
Sirro alipohojiwa baada ya kupiga Kura mida ya saa 4 asubuhi mwaka jana alisema ' Watu wameamua kuchagua maendeleo' Ile kauli sitaisahau mpaka naingia kaburini. Saa 4 asubuhi siku ya uchaguzi kamanda anajua hata waliokuwa bado hawajapiga Kura wataichagua CCM. Hii Nchi tuache uchaguzi tunajitukanisha bure.
Kuna kizazi kinatakiwa kuwa eliminated kwenye mifumo ya uongozi ili taifa liweze kupiga hatua za haraka za maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
 
Ccm ni chama cha kizazi kilichopita, ndio maana kimebaki kutumia nguvu tu kubaki madarakani maana kimeshapoteza ushawishi kwa kizazi hiki. Kwa mazingira yalivyo, ccm haiko tayari kuachia madaraka kwa njia ya kura, machafuko pekee ndio yatawatoa ccm madarakani. Na jambo hilo halina muda lazima litokee hivi karibuni.
Kuna vijana ukiwaona wanavyoitetea fisiemu, unabaki kuwasikitikia tu.
 
Vyama vya upinzani vinashindwa kutokana na KUSAJILI watu wagomvi,wajalifu ambao tunawajua kabisa kwamba ni wajalifu,kuchukua wagombea wahuni waliowahi Kufanya vituko vya kiuhalifu,wanawake waliotoa rushwa ya ngono,

Kipindi pekee cha kushinda kilikuwa hiki wakati watanzania bado hawajafahamu dhamira Yao lakini naamini baada ya muda watanzania watafunguka macho na kuona mbivu na mbichi.
Upo sawa
 
Kama hizo ndio mbinu na wapinzani wanazijua, na bado wameshindwa kupata suluhu kwa miaka 30 basi Tanzania hamna upinzani

Haiwezekani wawe watu wa kulialia tuu na washindwe kupata suluhu kwa mambo wanayoyajua halafu tutegemee walete suluhu kwenye maisha ya mtanzania

Yaani unajiita mpinzani halafu unadeka halafu unamdekea aliyeshika dola utampingaje sasa
Kinachofuata ni kuwapoteza nyinyi mmoja mmoja
 
Yeah ndio maana Hamza aliamua kuwatolea demo CHADEMA namna mambo yanavyotakiwa kufanywa ili kuleta suluhu. Hawa wa sasa Magaidi uchwara kama mbowe hawana ubavu wa kufanya kweli. Naamini bado kitambo kidogo wenye ujasiri; wasiolialia au kudeka watachukua chama na kufanya vitu kama vya Hamza, I presume. Keep on the pressure and the sarcasm.
Ipo haja ya kuwa na Batallion moja ya Hamza type of guys
 
Back
Top Bottom