hakuna iyo aya labda utumi hadith za kubumba zisizo na dalili kama zile za kusema mtume alikuwa anachuchumaa akikojoa na kuvaa nguo za bi aisha anapo pokea ufunuo😄
usisome quran kwa jaziba soma almaida 20 israel kajaliwa kiliko walimwengu wote hakuna aya ktk quran allah kapora baraka kwa israel kama ipo ilete aya kuwa wamenemeshwa kuliko walimwengu wote ipo allah yehova amesha wapa hekima maarifa na utawala haitabatilika hadi kiama
hiyo inaeleweka wao walipata neema ya kumjua mungu kwanza na walikuwa na agano nae kabla hivyo huwezi kuwahukumu mana wao katika ufalme wa mungu wanao mlango wao tafauti na sisi tulio mjua mungu kwa hadith
ww ndio unaelimu ndogo yan ulitaka mungu ashike mtutu akae pale yerusalem mungu hufanya kazi zake kupitia watu unajua ni nguvu gani inayo fanya mataifa makubwa yamlinde israel umesahau kipindi cha waamuzi mungu alimteuwa samsoni/mtu kuwa jabali la israeli na aliwatesa sana waphilist kwa vipigo...
mungu wao alisha wasamehe pale yesu alipo sema baba uwasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo ndio mana hatakatika msafu unapata allah anasema walineemeshwa kuliko walimwengu wote myahudi umuwezi anamaagano ya moja kwa moja na yehova mungu wa kweli ndio mana pia hata manabii wengi katika msafu ni...
kwa uwezo wa allah alie ijalia israel maarifa makubwa sana israeli itawapiga hao makafiri walio ungana mpaka watakapo mtambuwa allah wa kweli alie jitambulisha kwa jina la yehova kwa mababu wa israel huku akijinadi kuwa yeye ni bwana wa vita
kwa mujibu wa sheria za nchi uzinzi maana yake ni nn? sheria ya nchi inaruhusu kufanya ngono na mwanamke asiye mke wako alimradi mmelidhiana sasa utasemaje mtu anajiuza?
Unasoma andiko moja tu unabeba kasumba bila kuangalia nyakati na makusidio ya kila andiko mungu wa kweli hawezi muhukumu mja kisa kula mnyama fulani ambae akimla anaenda tumboni then chooni
Kama mungu mwenyewe ndio amekitakasa na kukijalia kiwe ni miongoni mwa kitoweo chenye ladha kwa waja wake nani akaze fuvu kukitea badala ya kumshukuru allah kwa kutujalia vitu vitamu
Huyo hawezi kuwa mungu wa kweli yan akukataze kula ngurue akuruhusu kula ng'ombe ngamia lazima kunakitu hakijaeleweka kunaaina nyingi za makatazo sio kila katazo ni kwa kila mtu pia yapo makatazo ambayo ni kwa kipindi maalumu sasa muwemnasima vizuri msifuate mikumbo na kasumba za tamaduni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.