hakuna iyo aya labda utumi hadith za kubumba zisizo na dalili kama zile za kusema mtume alikuwa anachuchumaa akikojoa na kuvaa nguo za bi aisha anapo pokea ufunuo😄
usisome quran kwa jaziba soma almaida 20 israel kajaliwa kiliko walimwengu wote hakuna aya ktk quran allah kapora baraka kwa israel kama ipo ilete aya kuwa wamenemeshwa kuliko walimwengu wote ipo allah yehova amesha wapa hekima maarifa na utawala haitabatilika hadi kiama
hiyo inaeleweka wao walipata neema ya kumjua mungu kwanza na walikuwa na agano nae kabla hivyo huwezi kuwahukumu mana wao katika ufalme wa mungu wanao mlango wao tafauti na sisi tulio mjua mungu kwa hadith
ww ndio unaelimu ndogo yan ulitaka mungu ashike mtutu akae pale yerusalem mungu hufanya kazi zake kupitia watu unajua ni nguvu gani inayo fanya mataifa makubwa yamlinde israel umesahau kipindi cha waamuzi mungu alimteuwa samsoni/mtu kuwa jabali la israeli na aliwatesa sana waphilist kwa vipigo...
mungu wao alisha wasamehe pale yesu alipo sema baba uwasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo ndio mana hatakatika msafu unapata allah anasema walineemeshwa kuliko walimwengu wote myahudi umuwezi anamaagano ya moja kwa moja na yehova mungu wa kweli ndio mana pia hata manabii wengi katika msafu ni...
kwa uwezo wa allah alie ijalia israel maarifa makubwa sana israeli itawapiga hao makafiri walio ungana mpaka watakapo mtambuwa allah wa kweli alie jitambulisha kwa jina la yehova kwa mababu wa israel huku akijinadi kuwa yeye ni bwana wa vita
kwa mujibu wa sheria za nchi uzinzi maana yake ni nn? sheria ya nchi inaruhusu kufanya ngono na mwanamke asiye mke wako alimradi mmelidhiana sasa utasemaje mtu anajiuza?
Muwe mnasoma qurani yenu vizuri kama issa kwa mujibu wa qurani yenu ni neno la mungu sasa mbona usiulize mashekhe wako kuwa kati ya neno la mungu na marium na yusuphu kipi kilitangulia kuwapo?
Mbona unanza jaziba jibu hoja mbona na ww mungu wako na malaika zake? Wana mswalia mtume Ila yesu akiswali hutaki ila allah ndio rukisa kumswalia mtume soma qurani 33:36
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.