Recent content by ngoka ken

  1. N

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Mkuu upo serious huoni jua lina move asubuhi linakuwa mashariki mchana utosini na jioni magharibi tuache ubishi usio na tija
  2. N

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Sayansi ya kusema kuna kuta alafu unazuiiwa kwenda ni sayansi ya namna gani?
  3. N

    IDF yahamisha wagonjwa kutoka hospitali moja huko Gaza baada ya hospitali hiyo kuhisiwa kuwa ni kambi na handaki la Hamas

    Mkristu mwenye timamu ameshakimbia gaza mdamrefu sasababu anajua jinsigani gaza itafanywa
  4. N

    Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

    hakuna iyo aya labda utumi hadith za kubumba zisizo na dalili kama zile za kusema mtume alikuwa anachuchumaa akikojoa na kuvaa nguo za bi aisha anapo pokea ufunuo😄
  5. N

    Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

    usisome quran kwa jaziba soma almaida 20 israel kajaliwa kiliko walimwengu wote hakuna aya ktk quran allah kapora baraka kwa israel kama ipo ilete aya kuwa wamenemeshwa kuliko walimwengu wote ipo allah yehova amesha wapa hekima maarifa na utawala haitabatilika hadi kiama
  6. N

    Mungu Hailindi Israel Tena, Israel inalindwa na Marekani na Mataifa ya Ulaya

    hiyo inaeleweka wao walipata neema ya kumjua mungu kwanza na walikuwa na agano nae kabla hivyo huwezi kuwahukumu mana wao katika ufalme wa mungu wanao mlango wao tafauti na sisi tulio mjua mungu kwa hadith
  7. N

    Mungu Hailindi Israel Tena, Israel inalindwa na Marekani na Mataifa ya Ulaya

    ww ndio unaelimu ndogo yan ulitaka mungu ashike mtutu akae pale yerusalem mungu hufanya kazi zake kupitia watu unajua ni nguvu gani inayo fanya mataifa makubwa yamlinde israel umesahau kipindi cha waamuzi mungu alimteuwa samsoni/mtu kuwa jabali la israeli na aliwatesa sana waphilist kwa vipigo...
  8. N

    Taifa la Israel linalindwa na Mungu (Mungu hufanya kazi pamoja na wanadamu)

    mungu wao alisha wasamehe pale yesu alipo sema baba uwasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo ndio mana hatakatika msafu unapata allah anasema walineemeshwa kuliko walimwengu wote myahudi umuwezi anamaagano ya moja kwa moja na yehova mungu wa kweli ndio mana pia hata manabii wengi katika msafu ni...
  9. N

    Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

    kwa uwezo wa allah alie ijalia israel maarifa makubwa sana israeli itawapiga hao makafiri walio ungana mpaka watakapo mtambuwa allah wa kweli alie jitambulisha kwa jina la yehova kwa mababu wa israel huku akijinadi kuwa yeye ni bwana wa vita
  10. N

    Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

    kwa mujibu wa sheria za nchi uzinzi maana yake ni nn? sheria ya nchi inaruhusu kufanya ngono na mwanamke asiye mke wako alimradi mmelidhiana sasa utasemaje mtu anajiuza?
  11. N

    Wapalestina watafute njia nyingine kudai amani Israel itawasafisha

    Elimu ya madrasa hii taja wafalume angalau 10 wapalestina kabla ya kristu ktk kitu wisrael wapi makini ni records za koo vizazi na tawala zao
  12. N

    Wapalestina watafute njia nyingine kudai amani Israel itawasafisha

    Palestina nitaifa jipya haliba historia yakuwa taifa kabla ya kristo
  13. N

    Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

    Unasoma andiko moja tu unabeba kasumba bila kuangalia nyakati na makusidio ya kila andiko mungu wa kweli hawezi muhukumu mja kisa kula mnyama fulani ambae akimla anaenda tumboni then chooni
  14. N

    Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

    Kama mungu mwenyewe ndio amekitakasa na kukijalia kiwe ni miongoni mwa kitoweo chenye ladha kwa waja wake nani akaze fuvu kukitea badala ya kumshukuru allah kwa kutujalia vitu vitamu
  15. N

    Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

    Huyo hawezi kuwa mungu wa kweli yan akukataze kula ngurue akuruhusu kula ng'ombe ngamia lazima kunakitu hakijaeleweka kunaaina nyingi za makatazo sio kila katazo ni kwa kila mtu pia yapo makatazo ambayo ni kwa kipindi maalumu sasa muwemnasima vizuri msifuate mikumbo na kasumba za tamaduni na...
Back
Top Bottom