Recent content by Ngok

  1. N

    Kutongoza kizungu ni ngumu jamani...asikuambie mtu

    mkuu usikate tamaa endelea kukomaa tu Mbona Ushindi upo kwako.Kwa maelezo yako licha ya mapungufu unayoyahisi kwako ndio sifa za ziada anazozipenda kwako.
  2. N

    Kutongoza kizungu ni ngumu jamani...asikuambie mtu

    mkuu usikate tamaa endelea kukomaa tu Mbona Ushindi upo kwako.Kwa maelezo yako licha ya mapungufu unayoyahisi kwako ndio sifa za ziada anazozipenda kwako.
  3. N

    Namshangaa prof. Lipumba, Kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni

    mkuu huyu hana maana yoyote hajui hata anachohitaji tumsaidie.Pengne ana chuki binafsi na Le profesor Lipumba na pia ajue wazi ktk siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu.Kama Chadema na Cuf wameungana si ni jambo jema tuwaunge mkono kuijenga democrasia?
  4. N

    Nimelia sana kuhusiana na Mume wangu,Mungu sasa simama wewe

    Pole dada yangu jitahidi kuvumilia jamaa atakuja tu cha msingi usimuoneshe kuwa unafahamu alipokuwa ili umsome na kumchunguza kwa kina na utakapojiridhisha hapo ndipo utachukua maamuzi sahihi.
  5. N

    Dr. Slaa alakiwa na Familia ya Nyerere Butiama

    Matusi yapi hayo? Au kuambiwa ukweli ndio matusi? Ondoa hoja mfu mkuu.Mama Nyerere akiambatana na familia yake wamewakubali Ukawa kwa kutambua hoja za msingi zinazobeba maslahi ya wananchi walio wengi na ndio uliokuwa msimamo wa baba wa Taifa.
  6. N

    Mama Maria Nyerere ampa siri nzito Dr Slaa, angalia hapa!

    Acha hizo mkuu! Mama anajitambua,anaona yote,anaongea kutoka moyoni na kushangaa jinsi nchi inakopelekwa na wanasiasa wachache,ving'ang'anizi wa madaraka,waongo na mafisadi kwa nchi yao.Ngoja tusubiri huo ujumbe mzito wa siri aliompa Jemadari Slaa utakaochochea kuikomboa nchi hii dhidi ya...
  7. N

    Shemeji anataka mawasiliano nami kwa siri nifanyeje?

    Hilo nalo ni neno mkuu lakini endapo mume wake hatamuamin na akamuamini mkewe hiyo si ni kesi nyingne? Bora amukaange kwa mke wake tu ili yeye abaki sehemu salama.
  8. N

    Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

    Jitahidi tu utashinda kwa kuwa mwenyewe umeshalitambua hilo.
  9. N

    Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

    Tulia,kuwa mpole,nyenyekea,badilika na omba Mungu kwan sasa tumeshagundua kuwa hauko kama tunavyokuona.Hivyo nina imani kuanzia sasa utawaona wenye nia ya dhati ili msukume pamoja maisha ya raha yaliyobakia hapa duniani.
  10. N

    Dr Slaa, Kinana, Maalim Seif na NCCR kushiriki kipindi cha 'Tanzania tunayoitaka'

    Watanzania tuko nyuma yao kusikiliza na kuona kile nguli wa siasa za Tanzania watakavyotueleza.Ningependa makatibu wakuu wote wa vyama tajwa wanahudhuria mdahalo huo na sio kutuma wawakilishi ambao hupunguza ladha ya mdahalo.
  11. N

    UKAWA waiteka CC ya CCM

    Ccm kukubaliana na maoni ya wananchi na Ukawa ndio kete ya mwisho ambayo ataitoa yule yule kigeu geu ambaye hugeuka wenzake pindi wanapokubaliana ndugu Jk.
  12. N

    Lipumba afafanua maana ya kuwaita CCM ''Intarahamwe"

    Ccm ya leo sio ya enzi za mwalimu na akina Warioba.Leo hii wao ndio waamuzi hata kwa mambo ambayo wananchi hawayapendi.
  13. N

    Alphonce Mawazo: Nyang'hwale na Mbogwe ni ukanda wa shetani

    Polisi watafanya nini kama viongozi wa serikali ndio wanaoshinikiza wananchi waonewe?
  14. N

    Alphonce Mawazo: Nyang'hwale na Mbogwe ni ukanda wa shetani

    Acha hizo mkuu.Mawazo ni kamanda na kiongozi shupavu anayejituma kukomboa wananchi wanyonge hususani wa vijijini.wewe ulitaka asiwasikilize na kuwatetea mbele ya watawala wasio na huruma na wananchi?
  15. N

    Alphonce Mawazo achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita

    Hongera kamanda Mawazo kwa kuchaguliwa kuongoza mkoa wa Geita.Sisi tuko nyuma yako kwa kila namna kuhakikisha ukombozi kamili wa mnyonge unapatikana Tanzania.
Back
Top Bottom