Habari za asubuhi wakuu, nimerudi tena kwenye jukwaa hili la sheria ili nilete mrejesho wa kesi yangu mwajili. Kama ambavyo nilishauriwa hapa kwamba nifike CMA mapema ili niwasilishe malalamiko yangu kwa sababu kuna jambo haliko sawa. Ni kweli niliwasilisha malalamiko yangu CMA mapema ndani ya...
Tena nilikuwa nimeshika karatasi ambayo nilikuwa nimeandika maswali yangu, nikaambiwa siruhusiwi kusoma. Swali langu je shahidi wa mwajiri anaangaliwa na nani huko aliko kama hasomi sehemu au hafundishwi. Pia nitajuaje kama ndiye yule dada au ni mtu mwingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.