Recent content by ngofoman

  1. N

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Tanzania inaruhusu kumuua mtu anaekutishia kukubaka/kukulawiti/kukudhuru kimwili katika harakati za kujihami

    Wataanza kutuuwa hata tusipotoa hela ya vikoba wanavyodaiwa marejesho usip
  2. N

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Kwa nini iwe Samia na sio serikali, kwani hio mikopo aliyokopa atalipa yeye?
  3. N

    JamiiForums Tanzania EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

    Wewe imepungua 90 wakati ilipanda 2000 harafu unatoka nje unachangilia, are you normal?
  4. N

    JamiiForums Tanzania EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

    Bei ilipanda kwa kasi kubwa kama inashuka gari mteremko lakini sasa hivi inashuka kama inapanda mlima
  5. N

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Sahihi, hapa tunamtaka Msigwa
  6. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    Mama ungenyoosha maelezo ingependeza zaidi.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Simba 1-1 RS Berkane| Agg: Simba 1-3 RS Berkane | RS Berkane Bingwa CAFCC 2024/205

    Hii ni fainali lazima apatikane bingwa, kutolewa makundi ndio aibu sana.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Shahidi wa mwajiri agoma kutokea kwenye hearing

    Habari za asubuhi wakuu, nimerudi tena kwenye jukwaa hili la sheria ili nilete mrejesho wa kesi yangu mwajili. Kama ambavyo nilishauriwa hapa kwamba nifike CMA mapema ili niwasilishe malalamiko yangu kwa sababu kuna jambo haliko sawa. Ni kweli niliwasilisha malalamiko yangu CMA mapema ndani ya...
  9. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Alihukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji miezi mitano iliyopita, leo tupo naye mtaani, hili limekaaje?

    Sasa inawezekanaje jamaa akate rufaa mlalamikaji asipewe taarifa.
Back
Top Bottom