Samahan mkuu,
hv kati ya toyota Allex na toyota Runx ipi iko bomba zaidi
QUOTE=Big Money;7914646]Kuna Mark X ipo imetoka bandarini sio muda hio bei yake 19.5mil, Toyota Passo 8.5mil mpya pamoja na Kluger 23mil. Kama ww ni mteja serious tutafutane kwenye simu tufanye biashara, mengine pia yapo...