Recent content by Ngissu gii

  1. Ngissu gii

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
  2. Ngissu gii

    Napingana na wanaosema Afya ya Rais si siri

    Kwani Kim jong un alikaa mafichoni kwa muda gani. Hizi ni mbinu za viongozi wenye akili kujificha kwa muda ili wawajua wabaya wao Na pia ujue ili uelewe vizuri mchezo inabidi utoke nje ta mchezo
  3. Ngissu gii

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Mkoa unaongoza kumchukia magufuli ni watu watu arusha, ikifuatiwa na Mbeya. Ni wale watu waliozoea kitonga mteremko madili yapigwe serikalini wao watereze tu Sasa mkulu kawabana Kila mtu ale kwa jasho lake halali. Hivi hamjiulizi Kama kweli magu yupo india mbona viongozi wakubwa wote wapo...
  4. Ngissu gii

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Kwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
  5. Ngissu gii

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Kama ilovyokuwa kwa wanna jf wengi humu ndivyo ilivyo kwa jf pia wanasikilizia wakisikia mh.hali imetengemaa huu uzi wanaufuta chap. Kweli raia mna roho za korosho pamoja na yote haya aliyoyafanya magu bado hamuludhiki.mungu ni wa ajabu Sana wakati unasubilia mwenzako afe ndipo unapokuja...
  6. Ngissu gii

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    💯 mijitu ya humu jf inashabikia mtu afe hiyo ndio ile mijitu ambayo ilizoea kuteleza short pass halafu itoboe kimaisha kiulaini Sasa magu ameibana fedha kazipeleka kwenye maendeleo inalia Lia na magu.na semaje wewe ambae unashabikia mwenzako afe utatangulia wewe pumbaaff
  7. Ngissu gii

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Huu uzi umewafanya watu hamlali kamA vile mkisubili update. Ila kamA ni kweli hii report naiona ile miladi mikubwa sgr,bwawa la umeme yaani vichwa panzi watarudi Tena na kujikitia mizizi kamA serikali ya ukoo wao vile
  8. Ngissu gii

    TANESCO tuambieni nini kinaendelea huko Mbeya maana umeme kukatika imezidi sasa

    Kipindi Cha uchaguzi sio kweli umeme ulikuwa haukatiki kamA kipindi hichi
  9. Ngissu gii

    TANESCO tuambieni nini kinaendelea huko Mbeya maana umeme kukatika imezidi sasa

    Huku mbarali mbeya Kila siku wanakata zaidi ya mara 4 na hata kamA wakirudisha haukai Sana wamepita nao tena
  10. Ngissu gii

    Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

    Sioni Kama Kuna tatizo happy coz mzee Abdul mwenyewe anaelewa fika kwamba nassib sio mwanake na ndio maana alikimbia kulea
  11. Ngissu gii

    Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

    Kiukweli huyo mzee Salim kafanana sana na diamond sasa kwa Nini alitumia jina la mzee Abdul shuleni
  12. Ngissu gii

    Mchungaji ahukumiwa kifungo miaka 140 kwa kuwabaka watoto wake wawili

    Hawajawatendea haki watoto wake walikuwa wanamtegemea yeye
  13. Ngissu gii

    Hivi kuna kipi zaidi Kati ya Babalevo na Diamond?

    Tuliona Babalevo akijinadi kuwa watu wanamuonea wivu kisa kanunuliwa gari ya million 26 na Diamond pia alijisifu kulipiwa mamilioo kwenye video ya shusha ambayo bado .kwa msisitizo zaidi akasema atamuomba boss wake diamond amjengee kanyumba kadogo kakuishi.jana Tena kawapeleka watoto wake wawili...
Back
Top Bottom