Recent content by ngina25

  1. N

    Wale wanaotafuta nyumba za kupanga Dar

    Mambo vip mzee! Mi nahitaji rum moja(master itakuwa poa) na sitting room,jiko...kijitonyama,mwenge,msasan au kinondon,sehem iwe decent kidogo,bajeti yangu 100-150.
  2. N

    Chumba na sebule kinahitajika

    100,000-140,000
  3. N

    Chumba na sebule kinahitajika

    Habari zenu. Nahitaji chumba( master) na sebule,jiko..maeneo ya kinondoni au kijitonyama,,anayeweza kunisaidia asanteni
  4. N

    Interview-Puma Energy Graduate Trainee

    Habari wanajamii. Nimepigiwa simu na Puma kuitwa kwenye interview mwisho wa week hii. Kwa anaejua interviews zao zinakuaje,just an idea. Thanx kwa msaada chanya.
  5. N

    Natafuta internship

    Habari wanajamii! Natafuta internship wadau,kwa yeyote anaeweza kunisaidia nitashukuru. Nimegraduate mwaka jana,nina shahada ya uchumi. Ahsanten,kwa mawasiliano,pm or 0764056210
  6. N

    Interview PPF

    Wewe ndo unaepiga simu? Ungeishia tu kusema interview 26th usivunje watu moyo,,shukran kwa taarifa mkuu
  7. N

    NHIF call for Interview

    Nimesoma mara mbil mbil sion ppst niloapply nikasema labda nimesahau niliapply nin,nikaenda kwenye tangazo lao nimekuta Planning and Investment officer 1post,,itakuwa kapewa mtu nafasi,,ila naamin waliaapply weng hiyo post,km wameona kwenye usail ipp,naomba wanijulishe ila mm sijaona
  8. N

    NHIF call for Interview

    Mm niliapply planning n investment officer,kwenye list walotoa gazetin haipo,ishachukuliwa?au wameshau?huu usail wizi mtupu
  9. N

    NHIF call for Interview

    Inawezekana watu walishaanza na kazi,miezi mitatu hawakuweza kuchambua cv? Na watu wanaapply sehem nyingi,wengine wameshasahau waliapply post gan. Okay,watu wataenda, watamark kwel?for another 3 months? Its really doubtful,,
  10. N

    Kazi Coca-Cola Jamani

    Wanapiga simu
  11. N

    Hizi St.Kayumba ni tatizo

    Kama yeye sifuriii,jaribu wewe kumuangalia anaweza kufit wap,,ilo jibu lake "chochote" ni hatar sana
  12. N

    Mchongo - Chinese Government Scholarship 2014

    Watu wanakosa nafasi kwa mentality za ajabu ivo ivo
  13. N

    Kwa Wale wa CPA(T)

    Utaanzia A,utapewa exemptions mbil tu kwenye hiyo module A,uwe na first o low class,,,an economist too and dd cpa
Back
Top Bottom