Physics na Mathematics hujaweka maelekezo na gharama zake, umesema tuwasiliane kwa namba za simu. Mbona Biology na Chemistry imeeleza vema. Kama hakuna mwalimu wa Physics na Mathematics, usitajetaje ujanja. Focus on the subjects or modules with availability of teachers.
Subiri matokeo yatoke then uje tukupe ushauri. Lakini kwa sasa fikiria kuhusu program zifuatazo.
1. Bachelor of Science in Biomedical engineering (MUHAS)
2. Bachelor of engineering in Biomedical engineering (DIT)
Kama utakosa sifa za kupata hizo course, njoo tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.