Mkubwa hujasoma hatua za kutatua tatizo?. Iliuweze kutatua tatizo lazima atafute chanzo, sasa chanzo cha udini ni viongozi waliopo madrakni wao ndio wanojua walichokifanya. Unaonyesha we ni kilaza.
Teh!teh!teh! Utajuta kukisajili CHADEMA na huwez kukifuta kwani nisawa na kumzaa mtoto umlee, akue nakujtambua kisa hakubaliani na utahira wa wazazi waamue kumuuaa,mzee fikiria kwamakin jinsi ya kunisaidia CHADEMA chama ambacho umekisjili wewe mwenyewe. Akili za mbayu wayu changanya na zako.
Maranyingi hamjui mapenzi, mnakuwa wazuritu kwa sura,umbo napia mnakuwa hamna tabia nzuri, wakati mwingine mnaringa, kujiskia pia mnapenda starehe alf hamna mvuto wa kimapenz, kitandani mnalala kama magogo.
Brother Mbona jana mkutano wenu ulikuwa na watoto wengi na akina mama tena vibibi huko igunga cjaona kijana wala mtu mwenye akili timamu Wale wote nikama wewetu, lakini ccm unachukua chako mapema kwakuona panaelekea kuwa jangwa. Kaoge kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.