Recent content by Ngido

  1. N

    "Immaturity", hiki ndicho kinawasumbua viongozi wa CHADEMA

    Mkubwa hujasoma hatua za kutatua tatizo?. Iliuweze kutatua tatizo lazima atafute chanzo, sasa chanzo cha udini ni viongozi waliopo madrakni wao ndio wanojua walichokifanya. Unaonyesha we ni kilaza.
  2. N

    "Immaturity", hiki ndicho kinawasumbua viongozi wa CHADEMA

    safii sana nimeipenda hii atajuta kuropoka.
  3. N

    Zitto Kabwe: Marufuku wabunge wa CHADEMA kuisifia serikali ya CCM!

    achaumbea na unafiki wa magamba uliona au story za kumuliwatu.
  4. N

    Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

    Kaka kwanza pole sana ila kumbuka mateso yakizidi juaneemaimekaribia,naamini wananchi wote watakuwa wanakuombea ucjali utapona kaka ckucnyingi.
  5. N

    Mbunge Sugu, mchumba wake na mtoto wao wakihamasisha utalii wa ndani.

    Oyaaeee! Mnaomponda shemeji yetuu na nyie mkajichore acheni umbea nyinimashefkuna hamna lolote, hoovyoo.
  6. N

    Mbunge Sugu, mchumba wake na mtoto wao wakihamasisha utalii wa ndani.

    C,unajua tena upande wa2 wa shilingi wengi elimu ndogo, upeo hakuna ni kuropokatu kaamishuz,
  7. N

    Janga la njaa: UN yashauri watu wale wadudu

    Unatupiatu mazaga kama mabaagaa yan ilatu yacchafue tumbo ukaanza kuhara au kutapika bt full kuchana mwili.
  8. N

    Matokeo ya kidato cha sita 2013

    Wanajishaur marambili, iliwaendelee kuwepo wakiborongatu kadinyekundu nje,
  9. N

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

    Teh!teh!teh! Utajuta kukisajili CHADEMA na huwez kukifuta kwani nisawa na kumzaa mtoto umlee, akue nakujtambua kisa hakubaliani na utahira wa wazazi waamue kumuuaa,mzee fikiria kwamakin jinsi ya kunisaidia CHADEMA chama ambacho umekisjili wewe mwenyewe. Akili za mbayu wayu changanya na zako.
  10. N

    Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

    Maranyingi hamjui mapenzi, mnakuwa wazuritu kwa sura,umbo napia mnakuwa hamna tabia nzuri, wakati mwingine mnaringa, kujiskia pia mnapenda starehe alf hamna mvuto wa kimapenz, kitandani mnalala kama magogo.
  11. N

    CHADEMA mnampuuza Mbowe!

    Brother Mbona jana mkutano wenu ulikuwa na watoto wengi na akina mama tena vibibi huko igunga cjaona kijana wala mtu mwenye akili timamu Wale wote nikama wewetu, lakini ccm unachukua chako mapema kwakuona panaelekea kuwa jangwa. Kaoge kaka.
  12. N

    CHADEMA kufa kabla ya 2015: Madhara ya 'Oil chafu' na kuamini ktk watu

    Naona mkubwa umeamua kuipiga dongo ccm, huku ukijua na kutaka kujisafisha kwa kuiponda chadema,umekwamaaaaaa.
Back
Top Bottom