Utu, kuheshimiana, busara, upole, wema, huruma, kusaidia na kupendana ni asili ya tunu ya ustaarabu tuliyonayo....
Lakini kutokana na maisha jinsi yalivyo sasa hivi tunauana, tunadhulumiana, hatujakuasi, hatupendani, sasa ustaarabu uko wapi hapa?????