Recent content by Ngeme

  1. N

    Babu Seya atatoka jela leo

    Nenda kakojoe muda wako wa kulala umefika.
  2. N

    Tumaini Makene: CHADEMA Makao Makuu hakiusiki na yanayoendelea mitandaoni!

    Mkuu umetwambia ktk chama chenu km kuna matatizo yanamalizikia ktk vikao.Je mbona Lema alituma waraka wa kumshutumu ZZK na hatujackia kiongozi yeyote anazungumzia juu ya hilo?
  3. N

    Kwa nini serikali hii ya ccm inawageuza watanzania km VILAZA?

    Wana Jf kwa wale mlioona taarifa ya habari kupitia Star tv mtakumbuka kuna mama mmoja aliyekua akiomba msaada wa 600000(laki sita) ili mwanae afanyiwe upasuaji ktk hospitari ya Bugando hivi kweli kwa serikali makini mtu mwenye tatizo km la yule mama kuna haja ya yeye kuomba msaada? Naomba...
  4. N

    "kazi ya ualimu ni kama chunvi"

    Chunvi mara zote kwenye mboga haikosi lawama,ikizidi utasikia chunvi imezidi! Ikipungua chunvi kidogo! Usipoiweka ndo kabisa zogo! Ualimu sasa umeshakua karaha tupu hivi sasa wanafunzi wakifaulu kwa wingi utackia raia wakisema wlm wamewaonesha majibu,wakifeli wengi utackia walimu siku hizi...
  5. N

    Msaada kwa wanaofahamu kuhusu ajira za maafisa mifugo na kilimo

    Ndg,wanajanvi ninaomba yeyote anayefahamu juu ya mstakabari wa wahitimu wa vyuo vya mifugo na kilimo maana ni bajeti 2 zimesomwa na @ bajeti ktk wizara ya mifugo imekua ikionesha kua serikali inatarajia kuajiri maafisa mifugo& kilimo lkn hakuna aliyeajiliwa mwaka wa 2 tangu kuhitimu nawasilisha.
  6. N

    Wilaya ya Kongwa wananchi wananunua ndoo ya maji sh.1,000 wanakula unga wa ubuyu, nyumba za tembe

    Jamani wananchi wa Kongwa mnafikiri kwamba ugumu wa maisha yenu ni laana kutoka kwa Mungu? Si hivyo bali ni uzembe mkubwa unaofanywa na serikali ya CCM chini ya mbunge wenu Job Ndugai tafakari chukua hatua.
  7. N

    CCM itaendelea kuwepo madarakani si kwa kuwa na uongozi bora bali kwa ujinga wa watz

    Ndg! Wana Jf mtakumbuka kwa walioangalia taarifa ya habari juzi wananchi wa Mbalali wanalalamikia soko la mchele serikali ya ccm imeagiza mchele toka nje bila kufanya uchunguzi sasa wameua soko la ndani mkulima analima pekee yake bila msaada ya yeyote akivuna anapangiwa mahali pakuuza.
  8. N

    Msaada kwa walimu walioanza kazi 2005

    Ndg wana Jf naomba kujua mimi nimeajiriwa march 20015 lkn mpaka sasa walimu wote tulioajiriwa nao ktk wilaya ya biharamulo hatujapanda madaraja bado tupo c.Je? Na kwa wilaya zingine ni hivyo?
  9. N

    Pinda afuta amri ya Waziri Magufuli

    Hata huyo Magufuri sio mtu mzuri km ambavyo watu waliowengi wanavyofikilia ni mpuuzi sn.
  10. N

    Wapinzani, Lissu wazidi kumbana JK

    Lissu nimtu makin sn maccm yanaelewa hilo japo hayataki kukili.
  11. N

    Mh Mkapa atakumbukwa kwa haya, soma hapa!

    Kumkweza Magufuri mpaka akajiona km waziri mkuu.
  12. N

    Ofisi ya TSD wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera ni Janga kwa walimu wilayani humo

    Wana JF ktk wilaya ya Biharamulo walimu wanashindwa kupandishwa vyeo vyao kwa wakati kwa sababu ya udhaifu mkubwa uliopo hapa kweli Big result now itawezekana?
  13. N

    Ofisi ya TSD wilaya ya Biharamulo ni majanga kwa walimu.

    Wana Jf kuna balaa ktk ofisi ya tume ya utumishi wa walimu wilaya ya Biharamulo kwani walimu hawapandishwi vyeo vyao kwa muda unaotakiwa.
  14. N

    BAKWATA iliundwa na nani?

    Waislamu ni watu wa vurugu tu mnatumia muda wenu mwingi kujadiri udini na ndo maana hamuendi shule lkn mnataka uwiano sawa ktk ajira itawezekanaje? Jaribuni kwenda na maisha sio kushindia vurugu.
  15. N

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Watendaji ofisi ya tsd biharamulo ni majanga kwa walimu.
Back
Top Bottom