waliokuwa interviewed na deloitte vipi veta wameshaita?
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa zao?tafadhali mtujuze.
Unachofanya ni sahihi kabisa, kama hujamjua mungu au hujampokea yesu kuwa bwana na mwokozi wako tafuta watumishi wa mungu wakuombee usije ukaanguka, jitunze na mungu atakutunza kwani housegirl akikuona mjinga ukaheshimika kwa mungu aliyekupa uhai na hizo nguvu wanazoshabikia uzitumie kwa h/girl...
ni kweli wiki tatu zimeshapita na zaidi wadau mlioitwa pale delloite wengine hebu tupeni taarifa tufahamu, kulikoni mpaka sasa, na mimi bw. Mdogo alienda hajapata jibu lolote hadi leo.jm tupe taarifa
jamani veta vipi baada ya interview ya tarehe 17/10/2011 pale ppf tower, kuna dogo aliomba, hawajatoa bado majina ya nafasi kwa waliopata?wanajf mwenye taarifa tujuzane.
My self i am having my own business,(silali njaa) of course.i can run different income generating activities and entrepreneurship skills training!!!!?do you think how much they worth?i am having people who can work even in my absent. I need to put my knowledge and skills to other training...
My self i am having my own business,(silali njaa) of course.i can run different income generating activities and entrepreneurship skills training!!!!?do you think how much they worth?i am having people who can work even in my absent. I need to put my knowledge and skills to other training...
My self i am employed in local productive poultry keeping.i am having 400 poultry.my certificates are on food processing skills to add value and life span for agricultural, honey processing and packaging,candle making skills, entrepreneurship development skills, courses on how to start business...
Nataka nifundishe wengine nao wajiajiri, employment ni tatizo nikipata organization inayohitaji wataalamu kama mimi nitawafikia watu wengi zaidi ili wajiajiri.
I am an expert in entrepreneurship development skills. If there is an organization which can employ me in this field, please jf members keep me informed. I am having first degree in marketing and different certificates of participation in tot for income generating activities to entrepreneurs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.