Recent content by ngela

  1. ngela

    Sakata la CCM: Uwoya amlipua Batuli

    since kanumba is dead nimeacha kuangalia bongo move coz hakuna wanachokifanya
  2. ngela

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    me nadhan uwajibikaji hauangalii elimu ya mtu though RC makonda anafanya kaz vzur maswala ya elim yake hayan nafasi ktk possion yake me nampongeza San shujaa huyu
  3. ngela

    Nampenda ila ananitesa sana, nakonda kisa Mapenzi

    we jamaa kuwa serious bahn hulali huli ndo nn sasa si ungeshakufa ww usitufanye si mazuzu
  4. ngela

    Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

    me nadhani ni mambo ya visasi tu vinavyofanywa na watuhumiwa wa madawa ya kulevya binafsi naipongeza San kaz ya mh makonda ila tu atumie utaratibu mzuri wa kuwatia hatiani wanaojihusisha na biashara haramu za madaw ya kulevya ili kuondoa hivi visasi vinavyomkabili
  5. ngela

    Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    ifike time sasa watanzania tuheshimu mapenzi ya watu izi ni mbinu za uchochez tu za kuvuruga mapenz ya mond na zari maadam zar mwenyewe anasema mtt ni wa mond bas acha awe wa mond Ivan kafananishw but ukwel halis anaujua zari hivyo tusijaji san
  6. ngela

    Nawasihi walimu msigome hiyo kesho

    kugoma sio solution
  7. ngela

    Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    iyo ni editing tu imefanyika hapo mtt ni wa mond tusiibue maswala mengine yasiyo na msingi jaman
Back
Top Bottom