Recent content by Ng'egera

  1. Ng'egera

    TRA na Mamlaka nyingine, chunguzeni Mchezo wa Coin Betting machine za BONANZA; unaweza kuwa ni uhujumu uchumi

    Kwani mamlakA husika hazipo?na swala LA vvijana kushindA huko huo ni ujinga wao wenyewe kwAni huh mchezo ungekua hauna Wateja wAsingeuleta
  2. Ng'egera

    Hivi lengo la Mungu kuhusu zaka ni nini? Niko kanisani naambiwa nitoe kwenye mshahara 'net'

    Lengo la Dhaka katika ni dini ni kuwasaidia wengine wasiokua na kitu ila inatofautiana katika namna ya masharti ya utoaji kati ya uislam na ukristo katika ukristo unapaswa kutoa kwa kiwango chako cha kipato na upeleke katika nyumba ya ibada lakini katika uislam si kila kipato kitolewe ila...
  3. Ng'egera

    Hivi kwanini Vijana wa CCM hushindwa kujenga HOJA?

    Utafiti ulishasema ccm inapendwa na watu wasio na elimu sasa wewe unategemea nini?
  4. Ng'egera

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite

    Habari wanajf kwa mtazamo wangu jambo hili linawezekana kufanyika lakini si haraka hivi Jana mkulu wetu alipokuwaziarani alitoa maagizo ujengwe ukuta, Leo jenerali kaenda kukagua eneo la kuanza kujenga eneo husika Kwanini nimeita maigizo ni hivi jambo lolote kubwa namna hii ni kwamba lazima...
  5. Ng'egera

    Lowassa mzalendo wa kweli

    Hats yeye lowassa alijua hayo ni mambo ya kisiasa ndio maana akahamia cdm bila kinyongo kwani anatambua ccm kuna mijizi na ukweli ndio huu sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ng'egera

    Lowassa mzalendo wa kweli

    Kuna mambo ya kisiasa na ya ukweli lazima ujue Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Ng'egera

    Lowassa mzalendo wa kweli

    Jibu hoja kama mchafu mbona hatajwi sio kutuonyesha chuki Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ng'egera

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Si wameambiwa mkisemasema hawatalipwa hizo t5 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ng'egera

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Tuwaogope watu wenye vipara kwani nahisi nywele zikiondoka zinaenda na akili Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ng'egera

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Wewe kama umetumwa sema msitufanyie figisu tukose noah Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Ng'egera

    Tuna tatizo kubwa ambalo linalozidi kupanuka la chuki ya baadhi ya Watanzania wenzetu dhidi ya nchi yetu

    Hizo ndege zinasaidia nini wakati wananchi masikini ambao nauli ya basi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ni shida na anakufa kwa kukosa dawa kwanini watu wenye akili wasikosoe Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Ng'egera

    Kwanini upinzani wetu umeshindwa kututetea badala yake wanatetea wakwepa kodi na mafisadi ya ACACIA?

    Huyu jamaa naona kalewa ndio kaandika,kwanza ujue accacia sio wakwepa kodi na binge ndio chombo cha kuisimamia serikali na wala si upinzani,accacia ingekuwa wakwepa kodi VIP serikali ifanye mjadala nao tena Wa siri bado tu unaandika huu ujinga Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Ng'egera

    Barick wameufyata; Hakuna press ya gawio la hisa, report ya fedha, soko la mitaji au maongezi na Tanzania

    Kwani serikali imeweka wazi hayo maongezi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom