Recent content by ngebo

  1. ngebo

    Serikali iingilie kati au kuja na mbinu kuzuia kuvuja kwa pesa kwenye mzunguko wa uchumi

    Angalizo ; huu uzi hauna maana mbaya wala kupangia watu namna ya kutumia pesa zao..!!! Tanzania tumeingia kipindi ambacho tunaona magari mengi sana ya kifahari, ukiwa barabarani sasa hivi kupishana na gari za 500M or less ni kitu cha kawaida, waTanzania wengi sasa wakipata pesa tumeingia na...
  2. ngebo

    Yanga yazindua jezi zake leo 27/07/2024

    0693225605 boss
  3. ngebo

    Yanga yazindua jezi zake leo 27/07/2024

    mali iyo inaambatana na jezi mpya... 20k tu matajiri Zinatumia battery ama Usb yake iliyokuja nayo na znawaka rangi 7 au ukitaka rangi moja
  4. ngebo

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    mfano ukoo ulifanya uhuni wakasema wanawajua na mahakama ndo ikaamua ivo wapewe mali pia... wa ndani ya ndoa ndio wataangaliwa zaidi au inapaswa kuwa pasu kwa pasu na hao wa nje ..??
  5. ngebo

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Mambo vipi, nina swali hapa la sheria, naomba msaada tafadhali.. Mfano baba alifariki akiwa na mke na watoto wawili ndani ya ndoa kabisa... na hakuacha wosia kisha baada ya kifo wakaja watoto wengine wawili wa nje ya ndoa.. na mahakama ikasema wagaiwe mali pia.. je kuna swala la percent labda wa...
  6. ngebo

    Ushauri wa kununua Volkswagen Golf ya diesel

    Wakuu nauza door projectors za magari -Toyota -Subaru -Mazda -Hyundai -Ford -Nissan -Benz -Bmw ***Bei ni 25,000 kwa milango miwili ya mbele *** Npigie 0693225605 nipo sinza hizi ni kubandika tu ukifungua mlango inawaka taa ka kwenye picha chini apo
  7. ngebo

    Kwani wenzangu mnafanyaje mpaka mnakuwa na hela nyingi

    Utajiri watu 90% wamepatia humu; -Utakatishaji fedha mfano maduka ya wadada wawili wa mjini matajiri sana siwezi wataja hapa ila wanajulikana, na pia yard nyingi za magari ile ni miradi ya money laundering -Siasa mfano ubunge, ukuu wa mkoa, nafasi za juu ndani ya chama... ushahidi upo machoni...
  8. ngebo

    Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

    [emoji843]Kuelekea siku yetu wanyama nawaletea mzigo huu, logo lamps zina effects na zinabadilika rangi 7 ukitaka unabonyeza ibaki rangi moja tu [emoji843]Bei 18,000 tu inatumia ysb au battery za kawaida
  9. ngebo

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu kwa anayehitaji Door light projector ninauza 25k tu kwa milango miwili ie. dereva na passenger zipo (Toyota, Subaru, Mazda, Nissan, Ford, Benz, Bmw, Hyundai)... Nipo Sinza.. npigie 0693225605 ... sorry kama sio sehemu sahihi ndugu admin
  10. ngebo

    Computer4Sale HP PAVILION 15 {2023} 12th Generation for sale

    HP PAVILION 15 {2023} 12th Gen [emoji3587]Brand New full boxed straight from HP[emoji3587] [emoji843]RAM - 64 Gb [emoji843]Storage - 1 Terabyte [emoji843]Windows 11 Pro [emoji843]Ni TOUCH SCREEN [emoji843]Backlight keyboard [emoji843]Pc ni mpya hadi seal ya HP ipo !!! [emoji843]Bei 2,750,000...
  11. ngebo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    HP PAVILION 15 {2023} 12th Gen [emoji3587]Brand New full boxed straight from HP [emoji843]RAM - 64 Gb [emoji843]Storage - 1 Terabyte [emoji843]Windows 11 Pro [emoji843]Ni TOUCH SCREEN [emoji843]Backlight keyboard [emoji843]Pc ni mpya hadi seal ya HP ipo !!! [emoji843]Bei 2,700,000 Tsh...
  12. ngebo

    Wauza smartphone tukutane hapa

    HP PAVILION 15 {2023} 12th Gen [emoji3587]Brand New full boxed straight from HP [emoji843]RAM - 64 Gb [emoji843]Storage - 1 Terabyte [emoji843]Windows 11 Pro [emoji843]Ni TOUCH SCREEN [emoji843]Backlight keyboard [emoji843]Pc ni mpya hadi seal ya HP ipo !!! [emoji843]Bei 2,700,000 Tsh...
  13. ngebo

    INAUZWA Lenovo Buds HT05

    🔸LENOVO BUDS HT05 🔸8 Hours playing time 🔸Zinakuja na Usb C yake ya kuchajia 🔸Bei 48,000 Tsh 🔸0693225605
  14. ngebo

    INAUZWA Hip flasks for sale

    hapana ni flask zenyewe tu
Back
Top Bottom