Recent content by ngayanimo david

  1. N

    Unatumia memory card ya aina gani? je ni sahihi kwako?

    kiukweli memory card zingine zinapoa sana hasa kwenye virus kuingia na kupelekea kuharibu data zako ulizohifadhi kwenye hiy memory
  2. N

    CCM na Magufuli mmejifunza nini?

    Uchanguzi wa mwaka huu ulikuwa auna ushindan kwakuwa warioudhulia katika kupinga kula ni wachache wengi tayari walikuwa wamekwisha mtambua mshind ni nani kiongoz yoyote Tanzania tangu nizaliwe sijawahi kuona katolewa madarakan baada ya miaka 5 wengi wao wamemaliza miaka ypte 10 nadani ushindan...
  3. N

    Old Bongo Flava

    ngoma zilikuwa kali sana tofauti na sasa
  4. N

    Ngoma kali za mapenzi zilizopata kutokea katika Bongo fleva

    kiukweli kwangu mimi ni hapa list mad ice - baby gal alcom- selina yaki _ tonight caz t- nakuhitaji make tee - nampenda kwakuwa ni merody kali kila ngoma ina ujumbe unaokosha hisia za watu
Back
Top Bottom