Tujiulize kwanini magazeti mengine yameacha kuandika habari za Gwajima hata wakiandika ni zile za ukweli2 kama mwananchi la Leo limenukuu kile kilichoongelewa Jana kanisani, chakushangaza gazeti la gvnt limechukua nafasi za magezeti ya udaku toka Jana ni udaku tu na story za kubuni juu ya Gwajima!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.