Naomba kuuliza wana JF ! Kati ya Masters in Community economic development (MCED) na Masters in Social work (MSW) ni ipi ni nzuri zaidi kudeal na jamii hususani kwa mtu mwenye msingi wa digrii ya ualimu na anataka kujikita zaidi kwenye jamii? Naomba mchango wenu wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.