DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Wananchi walimchagua kwa kuwa hawakuwa na mgombea mwingine wa kumchagua. Mind you tuna deal na mzizi wa tatizo ambao ni Mbowe na wenzake wa high tablesio tungeanza kuwachulia hatu wapiga kura wazembe waliomchagua?