Recent content by ngasa15

  1. N

    Kakobe amshukia Lowassa, azungumza kuhusu Kura ya Maoni

    Angekuwa hivi miaka yt heshima ingekuwa juu sana. Lakini aliharibu sana kuingia mitaani akisema Mungu kasema Mrema awe rais wa nchi hii. Af Mungu wake akashindwa kuzuia kile alichokiita kakobe wizi wa kura wa ccm
  2. N

    UKAWA PAWAKA: Mazungumzo ya Siri Yakijadili Nafasi ya Urais Yanaswa!

    Ni lazima slaa ama lipumba wagombee? Ccm wanabadilisha. Ukawa hakuna zaidi ya hao? Basi itakuwa ni aibu kubwa sn km hakuna wengine kuwa Rais. Vipi kesho akifa slaa na lipumba. Ukawa ndo itakuwa mwisho?
  3. N

    Picha zinazofutwa kwenye simu zinakwenda wapi

    Angalia photos kwenye Google+
  4. N

    Kakobe awachana live Nape, Rose Mhando, Mangula, Mwakyembe na Makonda

    C ndo huyu alimtabiria Mrema kuwa rais. Na kampeni kampigia
  5. N

    Hafikishwi kileleni afanyeje?

    Muelekeze mahali akuguse
  6. N

    Tangu upate ajali, imekuchukua muda kuwa sawa Kisaikolojia na kuendesha gari tena barabarani?

    Mi nlipata ajali ya bike pale mawasiliano towers. Kifuniko cha goti kikamuvu kushoto. Nkachukua bike nkaendesha hadi hosp. Nlipopona nkaendelea na bike. Why suffer psychological anyway if u know anytime anything bad might happen
  7. N

    Alichokiongea Zitto Kabwe huko Mwandiga, Kigoma - Machi 15, 2015

    We mbn umemsaliti mwanamke wako tunakuangalia tu banaa.
  8. N

    Binadamu wachomwa kama ndafu Mkoani Dodoma

    Mkiona mnauhakika hao ni wezi, halafu mkaona hakuna aliye tiari kupoteza muda kwenda mahakamani kutoa ushahidi ili mtu afungwe, na mkaona kifungo atakachopata hakiendani na kosa. Mnafikia uamuzi wa kummaliza
Back
Top Bottom