Ila Hawa wajuzi wa mambo haya waanze na elimu ya awali kwamba:
1.majini ni nini
2.nini historia yao
3.nini lengo la kuumbwa kwao
4.wanaishi wapi
5.nini mahusiano yao na wanadamu
Haya nadhani yanaweza kupunguza mengi ya maswali maana inaonyesha watu wanachangia wasichokijua.
Kama unaweza kutaja binadamu wepi ni wema na wepi wabaya basi na majini utaweza.Wao ni jamii kama tulivyo binadamu au kuna binadamu Fulani wema na wengine wabaya?
Wewe upo dunia gani huoni kwenye TV na hata vipindi vya redio wachungaji wanaendesha maombi kila siku na watu wanaanguka je Wale ni wanawake wa kiislamu?
Hawafahamu Hawa mashetani kuwa atakalo Mungu ndio huwa na si vinginevyo.Wameadhirika mwaka huu hawana pa kushuka mwisho wao hauko mbali wasubiri Anguko lenye mkono wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usemacho haswaa ndicho kilichopo watu hawajui katiba yao wanafuata mawazo na mhemko tu,mwenzao kwa kuwa ni Msomi kawakamata kwenye Sheria wao wamebaki na magazeti.Kama upinzani tulionao ndio huu CCM itatawala mpaka ilete balaa maana Akili zao zimechoka ila warithi wenyewe hamna kitu.
Sent using...
UKAWA si chama ni umoja vyama vipo na vinatakiwa viwepo katika asili yake kwa Afya ya siasa ya nchi.Huyu Maalim ndiye Mara zote amekuwa anaingia kwenye uchaguzi anaporwa Halafu anakwenda katika mazungumzo na wezi wake tena akiwa peke yake huku CCM wakiwa wengi. Kinachoendelea ni kwa wazanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.