Recent content by ngamunga 1

  1. ngamunga 1

    Je ni kweli madini ya TANZANITE yamemalizika?

    TANZANITE IPO....ata pale shamba la maro..sisi wachimbaji wadogo wadogo tuna -fail ktk vifaa vya kisasa + mtaji. Bila kafara na matambiko TANZANITE inapatikana. Mungu mwenyewe.
  2. ngamunga 1

    Business Cards

    Mwenye utaalama wa kutengeneza BUSINESS CARD nzuri ......please INBOX
  3. ngamunga 1

    Nimechoka kuhangaika ila akilini mwangu Nina mawazo makubwa!!!!

    namuunga wehoodie ,.,.,., pia naongezea `biashara ya mihogo hata ktk vituo vya daladala kuna wateja.,.,eg Mkwajuni``
  4. ngamunga 1

    Naombeni msaada, nimepooza kuanzia mabegani hadi miguuni kutokana na ajali

    ya Mungu mengi `` Mwanamkonda Kapunda'' .,., naombeni swali la YONGA lijibiwe . namnukuu tena. ()( pole sana hivi, India wanaweza kurekebisha tatizo hili?())
  5. ngamunga 1

    Soma kitabu cha Robert Kiyosaki "Guide to investment"

    salute kamanda manyotaa.,.,., weka na vingine bhasi
  6. ngamunga 1

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    October 25, 2015. Mungu bariki TANZANIA YETU
  7. ngamunga 1

    Mradi wa Stiegler Gorge wa kuzalisha 2000MW za umeme umefikia wapi

    ruvu JUU ruvu KATI:glasses-nerdy: ruvu CHINI:bowl: Mungu bariki TANZANIA October 25, 2015
  8. ngamunga 1

    Natafuta mwekezaji wa Tanzanite

    noted with thanks paperwork,
  9. ngamunga 1

    Natafuta mwekezaji wa Tanzanite

    wadau nisaidieni, ata kwa mawazo,., nianzie wapi? nifanye nini?
  10. ngamunga 1

    Natafuta mwekezaji wa Tanzanite

    Natafuta mwekezaji katika madini ya TANZANITE, yaliyopo MERERANI, MANYARA, TANZANIA. Mimi ni mchimbaji mdogo mdogo, sina vifaa vya kisasa (ADVANCE TOOLS) eneo lina ukubwa wa eka, stakabadhi zote halali za umiliki ninazo. Nisaidieni wadau. napatikana: arafa69@outlook.com
  11. ngamunga 1

    Graduates na mlioko vyuoni na shuleni

    salute samurai tunaomba mwendelezo if possible
  12. ngamunga 1

    Msaada kuhusu DTB

    NGO magoli, DTB nilipeleka CV yangu tena headquarter ( one month later )wana wa field wakaniambia CV yako ipo kwa secretary kwenye droo,.,.,mean haijapelekwa kwa HR. wayiiiiiii
  13. ngamunga 1

    Ninayo Nia., Nionyeshe Njia!

    Kalagabao kanena jambo, japo yawezekana ukapata kazi na kuso party time ( madarasa ya jioni ) ila hebu sogea sogea ktk ngazi ya elim, angalau bachelor Degree, ziada refer ujumbe wa MADAM D, BADO NIPO.
  14. ngamunga 1

    Temporary work

    welcome to the wold om boy freddie boy
Back
Top Bottom