Recent content by Ngaki2016

  1. N

    KAMA MMBWAI NA IWE MMBWAI , Wanasimba wenzangu , Ni nani hasa aliyesababisha Amis Tambwe aachwe ?

    Kabisa, yes tambwe anafanya vizuri huko yanga, kumtafuta mchawi saizi haitatusaidia kama simba.
  2. N

    VPL : Kagera Sugar Vs Young Africans

    Nilikuwa najua yanga atashinda lakini magoli aliofungwa casillas yamenishangaza
  3. N

    Issue ya Mikopo ya Elimu ya Juu itamharibia sana rais Magufuli

    Aise wasidhutu kugoma anafukuza wote haaa haaa
  4. N

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    Kama ndivyo ilivyo hakika tutaisoma namba
  5. N

    CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

    Mmh! hii post kama haina mantiki anyway how about prof. Safari is he not a professor?
  6. N

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Mi nadhan utendaji utapimwa kwa tija ya yale aliyoahidi kwenye ilani, apunguze attention ya magazeti
  7. N

    Rais Magufuli ateua Wakurugenzi Wakuu wa NSSF, TBC na Shirika hodhi la reli (RAHCO)

    Rioba ana kibarua kigumu cha kuitoa TBC ICU.
  8. N

    New member

    Hodi!hodi! humu ndani mi mgeni
  9. N

    Mgeni: Hodiii

    Mgeni jamani, hodi! hodi! humu ndani.
Back
Top Bottom