Recent content by ngajone

  1. N

    Polisi chukueni hatua kwa wenye nyumba wanaowadhalilisha wadada wa kazi kwa tuhuma za uchawi

    Sawa umenena vizuri lakini tuhuma zingine wanazopewa hawa mahouse maid ni za kweli
  2. N

    Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

    Audio za mafundisho yake
  3. N

    Semina za mwalimu Christopher Mwakasege

    Pia mwenye audio za mwalimu Mwakasege aziweke kwenye uzi huu au aje PM
  4. N

    Wachina acheni wizi na mashine zenu za kamari

    Kaka ukitaka kujua huo ni wizi tafuta movie inaitwa TAZZA afu utaelewa kama kamari yoyote ni utapeli tu na wala sio kukunufaisha
  5. N

    Watanzania tumepigwa changa la macho mchana kweupe suala la 'mzigo kung'ang'ania kichwani'

    Hata me ni mmoja wapo nisio amini naona kama kamovie fulani kana maana yake haiwezekani mtu ulale na mzigo afu kesho yake utembee nao kama vile
  6. N

    Hivi Tatu Mzuka na Biko ni kwa ajili ya bodaboda /mama ntilie /madereva /mkulima tu?

    Me nilishinda laki moja lakini nilitumiwa elf 82 wanadai walikata kodi 18%
  7. N

    Vijiwe vya kahawa /draft /bodaboda /karata ni makao ya watu wa TISS

    Kama mimi ofisini kwangu wanakuja wengi tu na ninawafahamu ila sizani kama wao wanajua kama nawafahamu ukiwa mwelewa utawajua mapema sana
  8. N

    Siku mkeo akianza kuchepuka jua kifo chako chaja

    Hili somo ni la kweli kabisa japo kama ni marudio humu JF lakini Asante kwa kutukumbusha
  9. N

    Kuna familia zina laana ya asili

    Kaka umenena ukweli na umegusa familia nyingi sana kwa huu mkasa ila ilitakiwa utoe somo namna ya kila mtu aweze kujikomboa mwenyewe
  10. N

    Q-NET naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu

    Me wameniita mara 2 nikaenda na semina yao nimesikiliza lakini zote nimewatosa
  11. N

    Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa

    Natamani ningeona behind the scenes ya hii movie ili andaliwaje
  12. N

    Joyce Kiria na kuolewa ili aweze kuendelea kuishi mjini

    Me naona hapa sio shida kuwa na Dhiki au matatizo shida wewe mwanamke ni muhuni tu ieleweke hivyo unathubutu kutoa mwili wako ili upate kitu fulani. Swali je ukitoa mwili afu ukakosa ulichokusudia si utaendelea kugawa mwili kwa wengine kwa kuzania utapata unacho kihitaji Me nafikili ujitambui...
  13. N

    Miwani ya macho

    Mkuu unapatikana wapi ni vizuri ukituelekeza
Back
Top Bottom