Mkuu umewaza idea bora sana hadi sasa.. Mimi nafanya hiyo kazi kwa muda mrefu sasa. Lakini pia nasaidia baadhi ya watu wanaopenda kuweza kuanzisha..
Kama unapenda na upo. Serious wasiliana nami na ikiwezekana kuonana notakupa muongozo uliokamilika sana.
Tumia mawasiliano haya kuweza kunipata...
Duuuuuuuh kazi ipo kwa kweli.
Ila sio wote wenye lengo kama hilo.
Fursa zingine unakuta ni maelezo mengi ukianza kuongea na kuielezea inaweza chukua hata dk 60+ .
Sasa maelezo ya dk60+ yanaweza geuzwa kwenye mawndishi itakuaje???
Bila shaka kitakua ni kitabu kizima. So, la msingi tunasema...
Fursa zipo nyingi Sana.
Kuna zile ambazo unazipenda ila kiuhalisia huna uwezo wa kuzisimamia na zinahitaji watu waaminifu ili kuzisimamia na ziweze kusonga mbele na kwa bahati mbaya huna hao watu waaminifu.
Kuna zile huna passion nazo kabisa ila kuzisimamia kwako ni rahisi Sana.
Inasemwa kua...
Kilimo cha chikichi/mawese... Kulima mwenyewe au kujiongeza kupitia kulangua na kukamua au ukihitaji basi nikutengenezee mashine ya kisasa ya mawese nikusimikie site Nzuri uendelee kunywa kuku kwa mrija.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.