Dr Slaa ni jembe. Yaani Magufuli atakuwa amefufuka na rais atapata usaidizi usio na shaka maana makundi ya ccm hayatawasumbua. Ilani itatekelezwa bila figisu.
Ili vita dhidi ya ufisadi iendelee rais Samia Suluhu Hassan amteu Dr Slaa kuwa makamu wa rais. Hapo atamsaidia Sana na kazi yake kusimamia miradi itakuwa nyepesi.
Wabunge wanalipwa mishahara isiyolingana na Elimu yao Wala majukumu yao. Enzi za awamu ya kwanza uwiano wa kima Cha juu Cha mishahara ya watumishi wa umma ilikuwa 1:9 yaani Tzs100:900. Sasa hivi ni 1:55.5 yaani tzs 270,000:15,000,000! Huo ni uonevu na wizi wa mchana. Haiji akilini kwa nini...
Ubia maana ya ni mgawanyo wa faida baada ya kodi yaani gawio. Fahamu kuwa kampuni ni kama mtu anayejitegemea. Wenye hisa wanaweka pesa kwake ili azizalishe kwa hiyo hata serikali ikinunua hisa ni lzm iweke pesa. Hapo itaweka 16% ya jumla ya mtaji watakaokubaliana na kutakuwa mjumbe wa serikali...
Ni wakati muafaka DC Sofia Mjema kupewa ukuu wa mkoa wetu wa Dar es Salaam. Makonda amekuwa kero sasa. Anapindisha sheria bila kujali. Sheria ya uchafuzi wa mazingira kwa kelele na sheria ya vileo,sheria ya nguvu kazi nk. Mtu utasalije siku nzima? Utafanya kazi saa ngapi na unsishije? Na huyo...
Namshauri Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kumunga mkono Mkuu wake wa Wilaya Sofia Mjema katika juhudi zake za kupiga vita uvivu, uchafuzi wa mazingira kwa kelele na kuhimiza uadilifu na maadili mema katika jamii.
Ibada za siku nzima katikati ya wiki tena kwa siku nzima na kwa...
Rais akihama nao wataanza kuhamia na hasa uwanja wa ndege mpya ukikamilika na huduma zote nuhimu zikiwa tayari. Huko Israel mabalozi wanahamia Jerusalem sasa kutoka Tel Aviv kuifuata serikali.
Lkn una sifa zote na uko katikati ya nchi hauna foleni ya magari, umepimwa vizuri haunuki kama Dar...
Rais akihama nao wataanza kuhamia na hasa uwanja wa ndege mpya ukikamilika na hudymu zote nuhimu zikiwa tayari. Huko Israel mabalozi wahamia Jerusalem sasa kutoka Tel Aviv kuifuata serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.