Baada ya kufuatilia kwa muda nimegundua tatizo mojawapo tulilonalo ni la kisiasa. Tanzania hatuna na hatujawahi kuwa na chama chochote cha siasa kizuri. Hivyo tuna chaguzi ambazo wananchi tunalazimishwa kuchagua nani mbaya kidogo kuliko wengine.
CCM chama tawala kama wangekuwa wazuri wasinge kuwa na haja ya kutumia watendaji na wafanyakazi wa serikali kubana upinzani ambao u a asilimia ndogo sana ya wabunge.
Tatizo ni kwamba wanajua hawapendwi hivyo. Kuna viongozi wanapendwa CCM lakini sio chama wala sera zake. Hizo wanazoita ilani ni za miaka ya 46 maana siku hizi Dunia inabadilika kila siku na ndiyo maana huwezi kutegemea ilani ya miaka 3 au 4 ikafanikiwa kwa miaka hii.
Dunia ya sasa ni full capitalist hivyo hata miradi itatekelezwa sio kwa ilani bali upatikanaji wa pesa ambazo nyingi zinatoka kwenye mabank ya nje! Sasa kuna ilani gani imesema nenda world bank kuomba pesa na mikopo ya maji au daraja ? Hakuna.
Lakini vilevile chama kama CCM wanajali zaidi kubaki madarakani kuliko kuweka sera za kusaidia nchi. Yaani wana watu mpaka vijijini wa uenezaji lakini huwezi kusikia wataalamu wowote vijijini kama wa kilimo, technology na ubunifu na ndiyo maana ni sifa watu badala ya kuongelea maendeleo vijijini wanataka kuongelea chama. Vilevile ajira, sera za land bado ni changamoto
Kwa wapinzani bado hawana movement yeyote ya maana. Upinzani hawajafikia hatua ya kuweza kuweka msukumo kwasababu ya kubanwa lakini vilevile upinzani unagawanyika sana badala ya kuwa wamoja mfano wamengekuwa na agenda ambazo ni mmoja kama ajira. Lakini bado kuna mambo ya Zanzibar, udini, ukanda kwenye vyama.
Hivyo Watanzania hatuna chagua zuri bali tunachagua kati ya wabaya. Mungu atasaidia tutabadilika miaka ijayo
CCM chama tawala kama wangekuwa wazuri wasinge kuwa na haja ya kutumia watendaji na wafanyakazi wa serikali kubana upinzani ambao u a asilimia ndogo sana ya wabunge.
Tatizo ni kwamba wanajua hawapendwi hivyo. Kuna viongozi wanapendwa CCM lakini sio chama wala sera zake. Hizo wanazoita ilani ni za miaka ya 46 maana siku hizi Dunia inabadilika kila siku na ndiyo maana huwezi kutegemea ilani ya miaka 3 au 4 ikafanikiwa kwa miaka hii.
Dunia ya sasa ni full capitalist hivyo hata miradi itatekelezwa sio kwa ilani bali upatikanaji wa pesa ambazo nyingi zinatoka kwenye mabank ya nje! Sasa kuna ilani gani imesema nenda world bank kuomba pesa na mikopo ya maji au daraja ? Hakuna.
Lakini vilevile chama kama CCM wanajali zaidi kubaki madarakani kuliko kuweka sera za kusaidia nchi. Yaani wana watu mpaka vijijini wa uenezaji lakini huwezi kusikia wataalamu wowote vijijini kama wa kilimo, technology na ubunifu na ndiyo maana ni sifa watu badala ya kuongelea maendeleo vijijini wanataka kuongelea chama. Vilevile ajira, sera za land bado ni changamoto
Kwa wapinzani bado hawana movement yeyote ya maana. Upinzani hawajafikia hatua ya kuweza kuweka msukumo kwasababu ya kubanwa lakini vilevile upinzani unagawanyika sana badala ya kuwa wamoja mfano wamengekuwa na agenda ambazo ni mmoja kama ajira. Lakini bado kuna mambo ya Zanzibar, udini, ukanda kwenye vyama.
Hivyo Watanzania hatuna chagua zuri bali tunachagua kati ya wabaya. Mungu atasaidia tutabadilika miaka ijayo